Kazi ya kujitolea

Kazi ya kujitolea

Mkuu unapenda kutoa frusa zisizo na mantiki! Mda huo anatakiwa arudi nyumbn kwao? Awe anakula na kulala kwa mda huo?
 
Nipo tayari mh Rais kuripoti kazini kesho mapemaaa!

Ila Mimi Sasa ni afisa ustawi wa jamii mtaniweka Kitengo Gani hapo!

Chai ntakunywa ila Cha mchana ntabeba nikile usiku
Kupitia hiyo fani yako, inabidi tuanze kujenga uelewa kwanza kwa hawa wanaokataa ndoa.
 
Mkuu unapenda kutoa frusa zisizo na mantiki! Mda huo anatakiwa arudi nyumbn kwao? Awe anakula na kulala kwa mda huo?
Kuna msemo unasema, unapokuwa na kazi ni rahisi kupata kazi; kuliko kutokuwa na kazi kabisa.​
 
Bro you're a fuvkin legend 😂😆
Unajua ishu ya share, ndio hapo baadae yale mambo ya mtu kutaka uenyekiti/CEO utaanza kuyumbisha kampuni.

kwa hiyo ni vizuri, mtu anayetaka kuingia kwenye biashara hii kulijua hilo mapema, kuwa anaingia kama muajiriwa.

Faida kubwa atakayoipata ni uhakika wa ajira kwa miaka isiyopungua 10 kama kampuni itaendelea kuwepo, pamoja na utendaji wake wa kazi ukiwa unaridhisha kwa mahitaji ya wateja.​
 
Salaam

Naona Kuna kitu watu hawajaelewa hapo....

Jamaa anahitaji wafanyakazi au tuseme (equation company) ni muajiri anahitaji waajiriwa kwenye nafasi ambazo zinahitajika kujazwa!

Kwenye maelekezo yake amesema anaenda kuwa na kampuni......

Hivyo ameshafata taratibu za kampuni inatakiwa iwe na vitu gani mfno MEMARTs ambayo itaonyesha umiliki wa hisa kwenye kampuni pamoja na wamiliki wa hisa tayari wanakuwa wamesha orodheshwa na kila mmoja kwa kiasi alicho changia kwenye hisa hizo!

sasa mnapomwambia awape umiliki hao wafanyakazi hata kwa asilimia ndogo ni kitu ambacho hakipo!

Hapo kampuni itatakiwa kuonyesha wafanyakazi waliopo either ni vibarua, (freelancer) , wanajitolea au wana mkataba kumbuka hivi TRA watahitaji kujua maake atatakiwa kulipa PAYE, hivyo hao ni waajiriwa kwenye equation company na sio minority shareholders!

Maake wakishindwa kazi wana uwezo wa kutolewa na kuwekwa watu wengine!

Hapo mngeniambia kwakua ndo kampuni inaanza labda awape priority na atapoanza kuajiri basi awape hao part time kipaumbele!!


Vinginevyo kama ni kampuni Ina kila kitu ambacho kinatakiwa kuanzia memarts, brela certificate, vibali kutoka kwa regulators, na other requirements as per company laws!

Congrats Mr
 
Wasomi mnabishana jinsi ya kugawana hela baadae, ukifikia phase ya kuhitaji fundi ceiling na decorations we nicheki dm hapo tunaelewana on the spot na tukielewana tunaanza kazi muda huohuo hatuna maneno mengi
 
Nina wazo la kuanzisha kampuni ndogo ya ujenzi, ambayo timu yake itakuwa hivi:-​
  • Architecture - 1​
  • Quantity surveyor - 1​
  • Marketing - 1​
Kwa kuwa kampuni itakuwa bado ni changa, haitaweza kulipa mishahara kwa hao wataalamu, lakini itakuwa na uwezo wa kuwapatia chai na chakula cha mchana tu, ndani ya miezi sita.

Baada ya soko kuitikia, ndio tutaanza kupata mapato (mishahara).

Kwa wale wenye hiyo fani na wana nia kweli, njoo hapa jukwaani tujadili.​

Wazo zur but, Kama ni serious issue ulitakiwa kueleza location ukatoa na contact.
 
Back
Top Bottom