Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 37,964
- 57,448
Nina wazo la kuanzisha kampuni ndogo ya ujenzi, ambayo timu yake itakuwa hivi:-
- Architecture - 1
- Quantity surveyor - 1
- Marketing - 1
Kwa kuwa kampuni itakuwa bado ni changa, haitaweza kulipa mishahara kwa hao wataalamu, lakini itakuwa na uwezo wa kuwapatia chai na chakula cha mchana tu, ndani ya miezi sita.
Baada ya soko kuitikia, ndio tutaanza kupata mapato (mishahara).
Kwa wale wenye hiyo fani na wana nia kweli, njoo hapa jukwaani tujadili.
Baada ya soko kuitikia, ndio tutaanza kupata mapato (mishahara).
Kwa wale wenye hiyo fani na wana nia kweli, njoo hapa jukwaani tujadili.