Kazi ya kuchoma chips na mishikaki Katoro

Kazi ya kuchoma chips na mishikaki Katoro

EL ELYON

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2013
Posts
1,675
Reaction score
2,115
Wakuu nahitaji kijana au binti mzoefu anayejua kuchoma chips natoa vifaa vyote na mtaji wa viazi, mafuta nk.
Awe katoro makazi ajitegemee.

0676628429
 
Makazi ajitegemee,akikuibia utalalamika?
 
Makazi ajitegemee,akikuibia utalalamika?
Ndo aje aniibie sasa tuone...
Mi staki mtu wa kuishi naye kwangu mpk nasema makazi ajitegemee mi siyo fala aisee....
 
nakuja suz badae dm namba yako nikuchek
nakuja hapo sa1 jioni, nakaa karibu na pool.

Ntakuwa nafakamia konyagi, mix eneji ya azam najiroga mdogodogo. Tutakuwa watu 3 kawaida yetu. Hapa nipo galaxy natafuna nyama ya mbuz
 
KUHUSU NAMBA, ANDIKA PUBLIC NITAKUPGIA, AU WADAU WENGNE WATAKUPGIA. OVA
 
Maeneo gani niweke Biashara ya chips kwa geita mjini?

Mie sio mwenyeji lakin nimepata wazo hlo la Biashara
 
Back
Top Bottom