Kuanzisha ajira nikiwa bado na hii kazi haitawezekana maana huo muda wa kufuatilia hakuna.
Inategemea na malengo yako kama yametimia acha leo...je umejipanga kuwa nani ukiacha kazi kuwa mkulima, mfanya biashara, mwizi...baada ya majibu yako naweza kukushauri zaidi....
Inategemea na malengo yako kama yametimia acha leo...je umejipanga kuwa nani ukiacha kazi kuwa mkulima, mfanya biashara, mwizi...baada ya majibu yako naweza kukushauri zaidi....
wewe umesema kiazi ww
mwibie mmalizane