Kazi ya Kuajiriwa

Kazi ya Kuajiriwa

Utaacha kazi ya kuajiriwa pale tu utakapoona maslahi unayopata ni madogo na hayalingani na unayopata kwenye shughuli au vitega uchumi vyako binafsi.


Na muda pia sipati wa kufanya shughuli zangu binafsi kazi ni mwanzo mwisho hakuna siku kuu wala nn.
 
kwa swali hili mkuu inaonekana hauko tayari,fanya hivi zidi kuongeza assets na skills za kijasiliamali!
 
kwa swali hili mkuu inaonekana hauko tayari,fanya hivi zidi kuongeza assets na skills za kijasiliamali!


Nitawezaje kuongeza assets wakati ninachotegemea nilipwe ndio nitoke hapa nilipo mkuu?
 
Acha kazi. Usigeuke nyuma utakuwa mtumwa daima. Acha kazi ya kuajiriwa wewe. Fanya yako!!!!
 
Wanaoacha kazi hawaombi ushauri wala hawasemi...ukiona mtu anahubiri kuacha kazi hatakuja kuiacha hiyo kazi labda afukuzwe!!
 
Nitawezaje kuongeza assets wakati ninachotegemea nilipwe ndio nitoke hapa nilipo mkuu?
Mkuu nawe umezubaa sana inamaana kwa muda wote huo uliyofanya kazi hapo umeshindwa hata kujiwekea akiba ili uje utimize lengo?
 
Mkuu nawe umezubaa sana inamaana kwa muda wote huo uliyofanya kazi hapo umeshindwa hata kujiwekea akiba ili uje utimize lengo?

Utawekaje akiba wakati kazi sio yako maamuzi sio yako Mapato yote mwenyewe ndio anaamua.
 
Kwa maana hio niendelee kufanya bila kuwa na matarajio ya kuwa na yangu?
Ndugu kazi hupatikana ndani ya kazi, tafuta kazi nyingine ukiwa bado ndani ya ajira yako. Ukifanikiwa kupata ajira sehemi nyingine ambayo kidogo itakuwa na muda wa kupumzika ndio uanze mchakato wa kujiajiri ndugu.

Kuna msemo usemao:
Umeomba kazi fanya kazi, ukiona kazi kufanya kazi acha kazi uone ilivyo kazi kupata kazi kuliko kwenda kazini kwenyewe...
 
Utawekaje akiba wakati kazi sio yako maamuzi sio yako Mapato yote mwenyewe ndio anaamua.

Duh! mkuu pole sana ikiwa hali yenyewe ndiyo hiyo, ila endelea kupigana huenda ipo siku ukatimiza ndoto yako.
 
Ndugu kazi hupatikana ndani ya kazi, tafuta kazi nyingine ukiwa bado ndani ya ajira yako. Ukifanikiwa kupata ajira sehemi nyingine ambayo kidogo itakuwa na muda wa kupumzika ndio uanze mchakato wa kujiajiri ndugu.

Kuna msemo usemao:
Umeomba kazi fanya kazi, ukiona kazi kufanya kazi acha kazi uone ilivyo kazi kupata kazi kuliko kwenda kazini kwenyewe...


Kuanzisha ajira nikiwa bado na hii kazi haitawezekana maana huo muda wa kufuatilia hakuna.
 
mwonge Mungu wa kweli kwa mipango mipya fata sheria za business cycle hapa namaanisha umejua utafanya biashara gani na unakipato kiasi gani muda ni wowote ule ukizingatia hayo afu nakushauri utafute biashara inayouzwa maana ni nafuu zaidi kuliko kuanzisha
 
mwonge Mungu wa kweli kwa mipango mipya fata sheria za business cycle hapa namaanisha umejua utafanya biashara gani na unakipato kiasi gani muda ni wowote ule ukizingatia hayo afu nakushauri utafute biashara inayouzwa maana ni nafuu zaidi kuliko kuanzisha


Nitafanya hii hii ninayoifanya kwa sasa maana nina uzoevu nayo!
 
Wanaoacha kazi hawaombi ushauri wala hawasemi...ukiona mtu anahubiri kuacha kazi hatakuja kuiacha hiyo kazi labda afukuzwe!!

kweli mkuu hata anayejinyonga haombi ushauri huyu mleta uzi hajitambui.
 
Back
Top Bottom