CCM Music
JF-Expert Member
- Dec 5, 2018
- 1,036
- 1,782
Njoo nikuunganishe na Mshahara wa sh 100,000/- kwa mwezi. Baadaye itapanda kidogo, then itapanda tena.
Kazi ni ya ku type pamoja na kazi zingine kwa kadri ofisi itakavyoona inafaa.
Jinsia: Mwanamke muelewa na aliyepevuka kiumri, kimatendo na kimaisha.
Njoo nikuunganishe kama utapenda, na kama unafaa uhakika unapata.
All the best!
Ipo Dar!
Kazi ni ya ku type pamoja na kazi zingine kwa kadri ofisi itakavyoona inafaa.
Jinsia: Mwanamke muelewa na aliyepevuka kiumri, kimatendo na kimaisha.
Njoo nikuunganishe kama utapenda, na kama unafaa uhakika unapata.
All the best!
Ipo Dar!