Kazi ya heshima na viwango

Kazi ya heshima na viwango

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,446
Reaction score
829,805
1477299295429.jpg
 
Yan nimecheka kwa nguvu aisee wew jamaa unakipaji maalum
Mkuu kuna siku natokea kigamboni ili nielekee ubungo - kupitia daraja jipya, bahati mbaya kwa mazoea nikapita kushoto kwa kufuata mwelekeo kuwa Ubungo ipo kushoto kulingana na mwelekeo wa barabara bila kujari vile vibao (road signs), matokeo yake nikajikuta narudi tena Kigamboni na kulipa upya!

Nimetumia uzoefu niliopitia, tuonee huruma sisi madereva tunaotumia uzoefu zaidi kuliko alama za barabarani
 
Mkuu kuna siku natokea kigamboni ili nielekee ubungo - kupitia daraja jipya, bahati mbaya kwa mazoea nikapita kushoto kwa kufuata mwelekeo kuwa Ubungo ipo kushoto kulingana na mwelekeo wa barabara bila kujari vile vibao (road signs), matokeo yake nikajikuta narudi tena Kigamboni na kulipa upya!

Nimetumia uzoefu niliopitia, tuonee huruma sisi madereva tunaotumia uzoefu zaidi kuliko alama za barabarani
 
Hapo ni wapi?
.............mkuu nimetafuta info za hili daraja mpaka nimezipata----------


The Kawazu-Nanadaru Loop Bridge, in Japan, is an example of how to build a bridge from one mountainside to another when the sides of the mountain are so steep that it is not possible to build a road at the same elevation on both sides. It's one of the most spectacular bridges in the world.

This double spiral brings cars up and down a full 45 meters (148 feet) while being seemingly suspended in a valley between two mountainsides.

Some other stats:

- 1.1 km long
- 80 meters in diameter
- speed limit: 30 km/h
 
safi sana.

Ila ingelikuwa mm ningeangalia gharama ya kuokoa mazingira,kuchonga mlima au huo mzunguko,,,nafikiri ningechagua kuchonga mlima
 
nzuri sana ila siku ya kwanza kuitumia hukawi kuzunguka tu hapohapo si kwa mchanganyo huo
 
Nchi gani?
ngoja Mshana jr aje
mm naona km barabara ilihitaji mtertmkp mkali tu km wa Kitonga kwani imenyooka wao wakaizunguzungu uli washuke chini waendelee.
Bravoo hiyo Nchi kwa ugunduzi wa kushuka ngazi
 
Mkuu kuna siku natokea kigamboni ili nielekee ubungo - kupitia daraja jipya, bahati mbaya kwa mazoea nikapita kushoto kwa kufuata mwelekeo kuwa Ubungo ipo kushoto kulingana na mwelekeo wa barabara bila kujari vile vibao (road signs), matokeo yake nikajikuta narudi tena Kigamboni na kulipa upya!

Nimetumia uzoefu niliopitia, tuonee huruma sisi madereva tunaotumia uzoefu zaidi kuliko alama za barabarani
Niache bhana mbavu zangu ha ina spea
 
  • Thanks
Reactions: bdo
Back
Top Bottom