MWANASIASA HURU
Senior Member
- Oct 4, 2012
- 181
- 239
Habari zenu wakuu,
Natumai nyote hamjambo.
katika kutafakari kwangu, kuna mambo yamenijia akilini juu ya kazi rahisi na kazi ngumu, katika hili nimeona kuwa moja ya kazi rahisi kuliko zote duniani ni kutumia pesa, na moja ya kazi ngumu duniani ni kumtafuta mtu asiyejulikana!!!
ni mtazamo wangu tuu, sijui kwako wewe kazi rahisi ni ipi na kazi ngumu ni ipi, labda utuambie.
ahsante.
Natumai nyote hamjambo.
katika kutafakari kwangu, kuna mambo yamenijia akilini juu ya kazi rahisi na kazi ngumu, katika hili nimeona kuwa moja ya kazi rahisi kuliko zote duniani ni kutumia pesa, na moja ya kazi ngumu duniani ni kumtafuta mtu asiyejulikana!!!
ni mtazamo wangu tuu, sijui kwako wewe kazi rahisi ni ipi na kazi ngumu ni ipi, labda utuambie.
ahsante.