Ex Spy
JF-Expert Member
- Jan 15, 2007
- 213
- 1,726
Bwana J K ambaye alikuwa akiratibu matukio ya ovyo ametemwa rasmi. Huyu alikuwa kiungo mchezeshaji akiwa anajinasibu kuwa na nguvu isiyomithilika.
Ni habari zinazotia moyo kiasi kuwa kuna dhamira ya kweli kuleta mabadiliko chanya lakini replacement ya E N kuwa ndugu Mabu.... sisi wengine inatutia shaka, labda kama ni interim tu.
Kwenye rekodi zetu ndugu Mabu... ana rekodi inayotia shaka. Tumpe muda!
Ni habari zinazotia moyo kiasi kuwa kuna dhamira ya kweli kuleta mabadiliko chanya lakini replacement ya E N kuwa ndugu Mabu.... sisi wengine inatutia shaka, labda kama ni interim tu.
Kwenye rekodi zetu ndugu Mabu... ana rekodi inayotia shaka. Tumpe muda!