minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 21,640
- 20,366
Naunga mkono hoja yako kwa Asilimia zote ni kweli CCM wanayo matokeo mfukoni wanasubiria mda tu kutangaza mshindi ni matumizi mabaya ya kampeni kwani kila kitu wanacho mapema kusingekuwa na haja ya kufanya kampeni kwani uchakachuaji umeshachukua nafasi tokea mapema.Ccm hawategemei kura kutangazwa washindi, bali madaraka ya rais kuwaagiza vyombo vya dola na tume ya uchaguzi kuhakikisha mgombea wa ccm anatangazwa mshindi.