Acheni unafiki wenu hapa. Yohana na wafuasi wake walikuwa wanafunga waliambiwa wachoyo mwana adamu alikuwa anajua na kunywa Wakamwambi ni mlafi. Kumbe ubishani huu umeanza toka zama hizo. Leo watu wanakulana Kwa nyuma kwakuwa ni Siri wanaona si dhambi ila mtu akinywa bia mbili akalala ni dhambi Acheni unafiki watz. Anaglieni mioyo yenu si ya wengine unafiki chuki ungo ni dhambi mbaya zaidi kuliko chocht duniani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.