Kazi- MTALAAMU WA UMEME 110v-220V

Kazi- MTALAAMU WA UMEME 110v-220V

shilanona

Member
Joined
Oct 31, 2010
Posts
55
Reaction score
22
Nahitaji mtaalam wa mambo ya umeme ambaye anaweza kunibadilishia mashine washers na Driers na zile za kutotolea vifaranga vya kuku ambazo nimezinunua Marekani. Zote zinatumia umeme wa 110V lakini zinahitaji 3Phase, na power ya up to 3500W.
Nahitaji mtaalam aje ashughulike nazo ili ziweze kuingiza na kufanya kazi kwa umeme wa 220V-240V. Wataalamu wa TANESCO chukueni tenda hii.
 
Hizo hata mafundi wa mtaani lakini wenye FTC wanakubadilishia, muhimu wawe na hiyo ya kushusha

Pia mkiwa mnanunua vifaa nje waambie vinakuja tumika huku EA watakurekebishia hukohuko kwenda 50Hz
 
Nahitaji mtaalam wa mambo ya umeme ambaye anaweza kunibadilishia mashine washers na Driers na zile za kutotolea vifaranga vya kuku ambazo nimezinunua Marekani. Zote zinatumia umeme wa 110V lakini zinahitaji 3Phase, na power ya up to 3500W.
Nahitaji mtaalam aje ashughulike nazo ili ziweze kuingiza na kufanya kazi kwa umeme wa 220V-240V. Wataalamu wa TANESCO chukueni tenda hii.

Tanesco pale vilaza tu....wamepeana kazi kindugu tafuta kijana wa VETA mwenye grade test 1 ya umeme akumalizie shida yako....
 
Tanesco pale vilaza tu....wamepeana kazi kindugu tafuta kijana wa VETA mwenye grade test 1 ya umeme akumalizie shida yako....
Kweli kabisa,Usitafute mhandisi wa chuo UDSM wa siku hizi wamekaa kinadharia na kiuongozi zaidi kazi hawataki kujifunza wanasubiri kuingia kwenye mitandao ya kifisadi tu.
 
Kweli kabisa,Usitafute mhandisi wa chuo UDSM wa siku hizi wamekaa kinadharia na kiuongozi zaidi kazi hawataki kujifunza wanasubiri kuingia kwenye mitandao ya kifisadi tu.
Nikusaidie tuu...Ukienda hospitali utakutana na madaktari bingwa(wa fani mabalimbali), madaktari wanafunzi,wauguzi waandamizi,wauguzi wa madaraja mbalimbali (na uniforms tofauti tofauti). Ukienda mahakamani utakutana na majaji,mahakimu,makarani n.k. Ukienda hata kwa hao mafundi wa VETA ofisini kariakoo au popote chini ya muti,utakutana na fundi mkuu ana kitambi hawezi hata kuingia uvunguni mwa gari na vijana wake wanafungua parts zote wanamletea mezani,anawaelekeza cha kufanya,wanafanya wao na wana-reassamble wao!
Usipende kuwa msemaji wa profession usiyoifahamu undani wake. Kula kwenye cafeteria ya wahandisi ukiwa chuoni haikufanyi ujue undani wa uhandisi. TUHESHIMIANE TU.
 
Nikusaidie tuu...Ukienda hospitali utakutana na madaktari bingwa(wa fani mabalimbali), madaktari wanafunzi,wauguzi waandamizi,wauguzi wa madaraja mbalimbali (na uniforms tofauti tofauti). Ukienda mahakamani utakutana na majaji,mahakimu,makarani n.k. Ukienda hata kwa hao mafundi wa VETA ofisini kariakoo au popote chini ya muti,utakutana na fundi mkuu ana kitambi hawezi hata kuingia uvunguni mwa gari na vijana wake wanafungua parts zote wanamletea mezani,anawaelekeza cha kufanya,wanafanya wao na wana-reassamble wao!
Usipende kuwa msemaji wa profession usiyoifahamu undani wake. Kula kwenye cafeteria ya wahandisi ukiwa chuoni haikufanyi ujue undani wa uhandisi. TUHESHIMIANE TU.

Truth always pains.
 
call 0765 772978 or 0715 641416 will solve you problem in minute even it is high voltage winding we can change in low voltage do not hesitate.
 
Nahitaji mtaalam wa mambo ya umeme ambaye anaweza kunibadilishia mashine washers na Driers na zile za kutotolea vifaranga vya kuku ambazo nimezinunua Marekani. Zote zinatumia umeme wa 110V lakini zinahitaji 3Phase, na power ya up to 3500W.
Nahitaji mtaalam aje ashughulike nazo ili ziweze kuingiza na kufanya kazi kwa umeme wa 220V-240V. Wataalamu wa TANESCO chukueni tenda hii.
h nitafute kwa namba hz 0715357966, 0763657130
 
Back
Top Bottom