Kazi kwa wadada tu(waitress)

nimekupm sijui umeona?maana sijui hata kupm vizuri nimejaribu.anaejua anielekeze ili nipm kwa uhakika.asante
 
Sitaki mtu mwenye masters degree.. Nataka certificate tu elimu ya chini. Mazingira ya kazi ni mazuri sana na muda wa kazi ni sa kumi jioni hadi sa nne usiku.
Mnataka mshahara wa 1,000,000? Nendeni kwa Magufuli
Ushampata mtu Mkuuu???
 
0764970976 Huyu binaadam wa kike anahitaji hiyo kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…