Shomari Kapombe na Mohamed Hussein wanapiga kazi sana ila sidhani kama mishahara yao inafika Milioni 10 kwa mwezi

je parle

JF-Expert Member
Nov 28, 2018
1,948
3,718
Nimekaa nafikiria tangu juzi nikajisemea moyoni hivi hawa jamaa kauka nikuvae mabeki wa Simba Tshabalala Zembwe Jr na Kapombe mishahara yao ni kiasi gani? Maana sio kwa kazi ile wanayopiga, kupanda na kushuka sio kazi ndogo ndugu zangu.

Simba waangalieni hawa vijana wanatumia energy sana na Mpira ni mchezo wa muda mfupi tu. Umri ukikutupa mkono ndio basi inabidi ufungue duka utafute riziki kwengine

Simba walipe hela ya kutosha hawa vijana, wanavuja sana jasho uwanjani.

Kuwalipa wakina Sawadogo mishahara minono huku mkiwachukulia poa wazawa na mishahara ya million 3 sio poa kabisa. Wapeni hela nono wajivunie vipaji vyao.

Note: Vijana wangu mkiona hamuelewi tafuteni timu hata South yenye maslahi mazuri kidogo, hata msipocheza kila mechi huko South mshahara utawabeba katika maisha.

Abdi Banda anawazidi mshahara mara 5 zaidi wakati nyinyi mna fame kubwa hapa nchini lakini mshahara kiduchu, ii sio sawa. Tuthamini vya nyumbani.

Feitoto kawakataa wale jamaa kwa vimishahara kiduchu. Tuache kucheza kwa uzalendo, Mpira ushabadilika.

Mbona wadhamini wanamwaga mihela katika timu na sisi tunazipokea bila kuwatangazia kizalendo?
 
Nimekaa nafikiria tangu juzi nikajisemea moyoni hivi hawa jamaa kauka nikuvae mabeki wa Simba Tshabalala Zembwe Jr na Kapombe mishahara yao ni kiasi gani? Maana sio kwa kazi ile wanayopiga, kupanda na kushuka sio kazi ndogo ndugu zangu.

Simba waangalieni hawa vijana wanatumia energy sana na Mpira ni mchezo wa muda mfupi tu. Umri ukikutupa mkono ndio basi inabidi ufungue duka utafute riziki kwengine

Simba walipe hela ya kutosha hawa vijana, wanavuja sana jasho uwanjani.

Kuwalipa wakina Sawadogo mishahara minono huku mkiwachukulia poa wazawa na mishahara ya million 3 sio poa kabisa. Wapeni hela nono wajivunie vipaji vyao.

Note: Vijana wangu mkiona hamuelewi tafuteni timu hata South yenye maslahi mazuri kidogo, hata msipocheza kila mechi huko South mshahara utawabeba katika maisha.

Abdi Banda anawazidi mshahara mara 5 zaidi wakati nyinyi mna fame kubwa hapa nchini lakini mshahara kiduchu, ii sio sawa. Tuthamini vya nyumbani.

Feitoto kawakataa wale jamaa kwa vimishahara kiduchu. Tuache kucheza kwa uzalendo, Mpira ushabadilika.

Mbona wadhamini wanamwaga mihela katika timu na sisi tunazipokea bila kuwatangazia kizalendo?
fact 100%
 
Yani INONGA HAMUMUONI?????

Nimeangalia mpira wa Yanga Jana, Bangala Alikuwa peke yake uwanjani.
 
MOHAMMED Dewji hataki kuona mchezaji ambaye bado anahitajika na Kocha Patrick Aussems pale Simba anaondoka ndiyo maana amevunja benki na kumpa nahodha msaidizi, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’ Sh mil 80 na mshahara wa kufuru.

Tshabalala alijiunga na Simba msimu wa 2014/15 akitokea Kagera Sugar. Mara ya mwisho wakati akiongeza mkataba Simba, Tshabalala alipewa dau la Sh mil 60. Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya Simba, kimeliambia Championi Jumamosi kuwa, safari hii Simba imeboresha mahitaji ya nyota huyo na kumpa kiasi cha Sh mil 80 na mshahara wa Sh mil 4 kwa mwezi.

“Tshabalala kwa sasa mambo yake mazuri kwani ameongeza mkataba wa miaka miwili Simba na wamempa Sh mil 80 hivyo ataendelea kuwepo Msimbazi.

“Unajua awali meneja wake alikuwa anasikilizia kwanza ofa kutoka timu nyingine kwa kuwa mchezaji wake alichaguliwa timu ya taifa ambayo inacheza Afcon hivyo akawa anapiga hesabu kuwa wanaweza kupata ofa zingine kubwa.

“Hata hivyo siku chache kabla hawajasafiri kwenda Misri na timu ya taifa ndipo wakabadilisha maamuzi ya kusaini kabisa Simba.

“Pia wakahofia mchezaji anaweza akawa na mawazo wakati anacheza huku anafikiria mkataba mpya. Meneja wake, Kheri Chibakasi alisema:

“Tshabalala ni kweli ameongeza mkataba wa miaka miwili Simba hivyo sasa ataendelea kucheza Afcon bila presha kubwa na thamani yake kwa sasa ni ya juu kutokana na ubora wake.

“Simba wamemtimizia mahitaji yake kama ambavyo alikuwa anataka na kusema amesaini kwa bei gani na mshahara ni kiasi gani hilo litabaki kuwa siri ya mchezaji na klabu yake.”

 
Nimekaa nafikiria tangu juzi nikajisemea moyoni hivi hawa jamaa kauka nikuvae mabeki wa Simba Tshabalala Zembwe Jr na Kapombe mishahara yao ni kiasi gani? Maana sio kwa kazi ile wanayopiga, kupanda na kushuka sio kazi ndogo ndugu zangu.

Simba waangalieni hawa vijana wanatumia energy sana na Mpira ni mchezo wa muda mfupi tu. Umri ukikutupa mkono ndio basi inabidi ufungue duka utafute riziki kwengine

Simba walipe hela ya kutosha hawa vijana, wanavuja sana jasho uwanjani.

Kuwalipa wakina Sawadogo mishahara minono huku mkiwachukulia poa wazawa na mishahara ya million 3 sio poa kabisa. Wapeni hela nono wajivunie vipaji vyao.

Note: Vijana wangu mkiona hamuelewi tafuteni timu hata South yenye maslahi mazuri kidogo, hata msipocheza kila mechi huko South mshahara utawabeba katika maisha.

Abdi Banda anawazidi mshahara mara 5 zaidi wakati nyinyi mna fame kubwa hapa nchini lakini mshahara kiduchu, ii sio sawa. Tuthamini vya nyumbani.

Feitoto kawakataa wale jamaa kwa vimishahara kiduchu. Tuache kucheza kwa uzalendo, Mpira ushabadilika.

Mbona wadhamini wanamwaga mihela katika timu na sisi tunazipokea bila kuwatangazia kizalendo?
Waongezee km unaweza. Eti unawaza, umeshindwa kuwaza ya kwako uwawazie wanaume wenzio? We ni mkuda mchawi
 
Waongezee km unaweza. Eti unawaza, umeshindwa kuwaza ya kwako uwawazie wanaume wenzio? We ni mkuda mchawi
Hasira za nini Mkuu? Yeye katoa mawazo yake tu na inawezekana Shomi na Zimbwe wanakula mishahara mizuri tu maana Zimbwe kuna sehemu maeneo ya Mwananyamala sokoni kajenga zaidi ya frem 20 eneo la Msikitini na ana nyumba nzuri tu Goba na usafiri wake Toyota Crown na juzi kapata shavu CRDB yeye , CHAMA na Aziz Ki sio haba kipaji chake kinampa maisha tofauti na Vijana wengi waliokaa Darasani zaidi ya miaka 10 na bado wapo tu mtaani hawana option
 
Hasira za nini Mkuu? Yeye katoa mawazo yake tu na inawezekana Shomi na Zimbwe wanakula mishahara mizuri tu maana Zimbwe kuna sehemu maeneo ya Mwananyamala sokoni kajenga zaidi ya frem 20 eneo la Msikitini na ana nyumba nzuri tu Goba na usafiri wake Toyota Crown na juzi kapata shavu CRDB yeye , CHAMA na Aziz Ki sio haba kipaji chake kinampa maisha tofauti na Vijana wengi waliokaa Darasani zaidi ya miaka 10 na bado wapo tu mtaani hawana option
Kipaji huwaga hakiongopi.... Tupac Shakur
Aliwai kusema...

The great loss in life is to let your Talents die while your still alive.....

Kipaji ni Zaid
 
Back
Top Bottom