bado hawajatoa za form six sayansi,hao niwale wa mwaka jana mmoja wa rafiki zangu yumo humo kapelekwa kenya,mi mwenye nazisubir za sayansi hizohbr ktk ndani ya jeshi nimejulishwa kuwa sasa hv wamemaliza mchakato wa kusail form vi science weny div 3,na wameshasambzwa nchi tatu kwa mafunzo.Muda huu wanatarajia kusaili digrii na diploma.then waende Afsa kadeti.ila mpaka walio phase 2 wa wamalize mwezi wa kumi 2,wakimaliza ndani huko watalipua za Nje.
bado hawajatoa za form six sayansi,hao niwale wa mwaka jana mmoja wa rafiki zangu yumo humo kapelekwa kenya,mi mwenye nazisubir za sayansi hizo
nafasi bado hawajatoa hata za form six sayansi bado wale walioingia mwaka jana ndio wamepelekwa nchi mbali mbali za afrika mashariki mi mmoja wa marafiki zangu yumo humo kapelekwa kenya ila mwaka huu bado,pia nimeongea na ,mshikaji mmoja hivi ni mwana jeshi kaniambia bado so wananzengo tuvute subira mi mwenyewe nasubiri hizo za sayansi
kwa hapo sina la kusema labda ungejaribu kuulizia zaid jeshini ni kwa nini wanafanya hivyo kaka labda wanamakusudi yao wanayoijuana kwa nin wanatoa za sayansi pekee afu wanawapeleka nje,kwan hapa nyumban hamna training academy,au huko nje kuna nin special?