Kazi hizi zinawafaa INTROVERTS wa Tanzania wasiopenda ama wenye shida ya kusocoalize

sky soldier

JF-Expert Member
Mar 30, 2020
5,408
19,034
Introverts ni watu wanaopenda kuwa peke yao ama kuwa na circle ndogo sana ya watu, ni aidha wana aibu, wakimya, wana ulemavu wa mawasiliano, n.k. hivyo kupelekea wao kuwa na uwezo mdogo wa kusocialize, Watu hawa huchukuliwa kimakosa kwamba wana viburi au wana jeuri,

Kazi hizi zinawafaa.

Kumiliki duka / maduka na kuweka wafanyakazi - Simple and easy ila inahitaji mtaji, mweke kijana extrovert akupigie kazi wewe involvement yako ni ndogo sana kurenew leseni, kufunga hesabu, kuhesabu stock, kuverify stock, n.k. Teknolojia imekuwa sana sikuhizi waweza kuweka cctv kumonitor baadhi ya mambo.

Kuandika - Yaweza kuwa kuandika story, biography, uchambuzi, n.k. mitandao imefanya kazi hizi zizidi kuongeza soko, kuna haya magroup ya whatsapp mtu akiwa mtunzi mzuri wa story mnamlipa elf 5 kila mwezi, niliwahi kuwa sehemu ya hizi group na tulikuwa members kama 300 hivi,

IT - Kama una malengo ya kusomea kazi yako basi chuoni kozi ya IT itakufaa sana, Si hapa kwetu tu bali hata ulaya na marekani introverts wengi wanapenda kazi za IT, Kwetu hapa bongo ofisi za IT ni kawaida kukuta zina watu wawili ama mtu moja tu ofisini kwake, akiitwa kurekebisha tatizo maongezi huwa ni 5% kazi 95% akimaliza anarudi ofisni kwake, kuna kazi za IT kama system administrator hii inawafaa sana wasiotaka kuchangamana kabisa, muda wote mtu upo ofisini una monitor system, server ikisumbua unarekebisha mwenyewe, hakuna haja ya kuongea na wengine.
 
Indoor works
Kibongo bongo bado sana hii, nakumbuka kipindi cha covid-19 watu wengi ulaya na marekani walikuwa wanafanyia kazi za ofisini majumbani kupitia internet kuanzia vikao, kusubmit reports, n.k.

Kwa hapa kwetu hata mabando ni changamoto

Kwa marekani kazi nzuri ni kuwa medical coder kila kazi unafanyia nyumbani kwenda hospitalini labda mara 3 tu kwa mwaka, mshahara ni dola 3.500 sawa na milioni 9 na laki 3 kila mwezi
 
Kila mtu ni introvert nowadays. It's the new cool. Zamani ilikua sifa kuwa life of the party, trend imebadilika siku hizi kila mtu anajiita introvert ili aonekane special. Nonsense


View: https://www.reddit.com/r/introvert/comments/4lz0a9/why_everyone_and_their_mother_is_now_identifying/

 
Kila mtu ni introvert nowadays. It's the new cool. Zamani ilikua sifa kuwa life of the party, trend imebadilika siku hizi kila mtu anajiita introvert ili aonekane special. Nonsense


View: https://www.reddit.com/r/introvert/comments/4lz0a9/why_everyone_and_their_mother_is_now_identifying/


Introvert wengi wapo hivyo tangu kuzaliwa, hata Messi ni introvert sio mtu wa kuongea sana, hapendi attention, circle ndogo sana, n.k.
 
Kuandika - Yaweza kuwa kuandika story, biography, uchambuzi, n.k. mitandao imefanya kazi hizi zizidi kuongeza soko, kuna haya magroup ya whatsapp mtu akiwa mtunzi mzuri wa story mnamlipa elf 5 kila mwezi, niliwahi kuwa sehemu ya hizi group na tulikuwa members kama 300 hivi
Da'Vinci's favorite job. Japo haijawahi kunilipa
 
Da'Vinci's favorite job. Japo haijawahi kunilipa
Watu wakipenda unacho offer unaweza kuki monetize kikupe pesa, mtu kama the bold ana magroup yake ya story yanamwingizia pesa.

Alipoanza kutangaza hayo magroup humu ndani ndio walipozinguana na JF kwamba wasomaji inabidi wasomee humu humu asitangaze magroup yake kupitia jf
 
Kila mtu ni introvert nowadays. It's the new cool. Zamani ilikua sifa kuwa life of the party, trend imebadilika siku hizi kila mtu anajiita introvert ili aonekane special. Nonsense


View: https://www.reddit.com/r/introvert/comments/4lz0a9/why_everyone_and_their_mother_is_now_identifying/


hao watu wanao igiza kuea introvert hawajui struggle wanazopitia real introverts, muda mwongine kutokeleweka na watu inawazishaa sana na inaweza kukutoa kwa reli, real kipondi introverts wapo wadogo na kwenye u teenager pale wanapata tabu sabu ya kujisoma na kujijua.


Nashaanga hizo mutu zinazoona kujiita introvert ni trend.
 
hao watu wanao igiza kuea introvert hawajui struggle wanazopitia real introverts, muda mwongine kutokeleweka na watu inawazishaa sana na inaweza kukutoa kwa reli, real kipondi introverts wapo wadogo na kwenye u teenager pale wanapata tabu sabu ya kujisoma na kujijua.


Nashaanga hizo mutu zinazoona kujiita introvert ni trend.
Hawa watoto wa siku hizi wanadandia tu trend so long as inasound cool kwao. Wanaona nje huko kila mtu anadai yeye ni introvert nao wanajifanya introverts.

Hivi vitoto romanticizes mental illness, bipolar, mood swings, attitude, mtu anajisifia kwamba hapendi watu ili aonekane tofauti. Nonsense
 
Back
Top Bottom