Kazi[Careers] zenye future na maslahi mazuri Tanzania

paqwa

JF-Expert Member
Sep 13, 2019
1,688
2,256
Katika karne hii ya 21, kijana mwenye maarifa na maono atakuwa anafahamu kuwa bila kuchagua career sahihi maisha yatakuwa magumu.

Ninaposema taaluma au Careers nzuri, maslahi japo ndio la kwanza lakini pia kuna kitu kinaitwa quality of life au tuseme work-life balance.

Yani unaweza kufanya kazi inayokulipa karibu 5m kwa mwezi lakini inakutumia zaidi ya masaa 10 kwa siku wa zaidi ya siku 5 au 6 kwa wiki.

Hapo maana halisi ya kuishi inakuwa haina maana kama kazi unayofanya itakutenganisha na ndugu jamaa na marafiki na pia mambo ambayo unayapenda nje ya kazi.

Tofauti na mtu anayelipwa laki 8 lakini anafanya masaa 8 kwa siku 5 au pungufu.

Kwa hivi sasa, kazi ambazo ni nzuri zimekuwa 'overlooked' kwasababu ya mazoea, yani tumezoea udaktari, uanasheria, uhandisi nk ndio zinaonekana kazi. Lakini muda wa dhana hizo umeshapita.

Ulimwengu wa sasa unahama sana kwenye kazi za kutumia nguvu na kuwekeza vilivyo kwenye teknolojia, hivyo kazi zinazolipa au zitakazokwenda kulipa zitajikita zaidi kwenye hilo.

Yani wale wanaotumia akili kuliko nguvu ndio watakaoshinda mpambano wa soko la ajira, ama kwa kuajiriwa au kujiajiri.

Sasa, hizi ni baadhi tu ya Careers au sekta ambazo binafsi ningeshauri vijana waziangalie kwa jicho la tatu.

1. Information security, cyber security.
2. Data Scientist.
3. Software developer.
4. Digital marketing.
5. Biomedical engineering.
6. Actuarial mathematics.
7. Health economist.
8. Financial Management.
9. ICT.
10. Health informatics.

Nyingine mtaongeza.

Hizo ni baadhi tu ya fields na Careers ambazo kwa sasa na baadae zitakwamua sana vijana. Na ukiangalia nyingi hapo utaona ni kazi ambazo hazitakuharibia work-life balance huku ukiweka mkwanja mzuri mfukoni.

Achana na kazi ambazo unatumia nguvu nyingi kupata mafanikio average , kama udaktari ,ualimu nk ambao wanazidiwa na ata na traffic police.

Sio kwamba hakuna madaktari au waalimu wenye succes ila its not order of the day.

Kumbuka, efficiency=load/effort. Na zote unaweza kujiajiri.

Sio Unasoma saana, vitu vigumuu kazi ngumu alafu unakuwa bado an average Joe.

Kijana, kupanga ni kuchagua.
 
Katika karne hii ya 21, kijana mwenye maarifa na maono atakuwa anafahamu kuwa bila kuchagua career sahihi maisha yatakuwa magumu.

Ninaposema taaluma au Careers nzuri, maslahi japo ndio la kwanza lakini pia kuna kitu kinaitwa quality of life au tuseme work-life balance.

Yani unaweza kufanya kazi inayokulipa karibu 5m kwa mwezi lakini inakutumia zaidi ya masaa 10 kwa siku wa zaidi ya siku 5 au 6 kwa wiki.

Hapo maana halisi ya kuishi inakuwa haina maana kama kazi unayofanya itakutenganisha na ndugu jamaa na marafiki na pia mambo ambayo unayapenda nje ya kazi.

Tofauti na mtu anayelipwa laki 8 lakini anafanya masaa 8 kwa siku 5 au pungufu.

Kwa hivi sasa, kazi ambazo ni nzuri zimekuwa 'overlooked' kwasababu ya mazoea, yani tumezoea udaktari, uanasheria, uhandisi nk ndio zinaonekana kazi. Lakini muda wa dhana hizo umeshapita.

Ulimwengu wa sasa unahama sana kwenye kazi za kutumia nguvu na kuwekeza vilivyo kwenye teknolojia, hivyo kazi zinazolipa au zitakazokwenda kulipa zitajikita zaidi kwenye hilo.

Yani wale wanaotumia akili kuliko nguvu ndio watakaoshinda mpambano wa soko la ajira, ama kwa kuajiriwa au kujiajiri.

Sasa, hizi ni baadhi tu ya Careers au sekta ambazo binafsi ningeshauri vijana waziangalie kwa jicho la tatu.

1. Information security, cyber security.
2. Data Scientist.
3. Software developer.
4. Digital marketing.
5. Biomedical engineering.
6. Actuarial mathematics.
7. Health economist.
8. Financial Management.
9. ICT.
10. Health informatics.

Nyingine mtaongeza.

Hizo ni baadhi tu ya fields na Careers ambazo kwa sasa na baadae zitakwamua sana vijana. Na ukiangalia nyingi hapo utaona ni kazi ambazo hazitakuharibia work-life balance huku ukiweka mkwanja mzuri mfukoni.

Achana na kazi ambazo unatumia nguvu nyingi kupata mafanikio average , kama udaktari ,ualimu nk ambao wanazidiwa na ata na traffic police.

Sio kwamba hakuna madaktari au waalimu wenye succes ila its not order of the day.

Kumbuka, efficiency=load/effort. Na zote unaweza kujiajiri.

Sio Unasoma saana, vitu vigumuu kazi ngumu alafu unakuwa bado an average Joe.

Kijana, kupanga ni kuchagua.
Mwenye HKL hawezi kusoma hizi kozi?
 
Katika karne hii ya 21, kijana mwenye maarifa na maono atakuwa anafahamu kuwa bila kuchagua career sahihi maisha yatakuwa magumu.

Ninaposema taaluma au Careers nzuri, maslahi japo ndio la kwanza lakini pia kuna kitu kinaitwa quality of life au tuseme work-life balance.

Yani unaweza kufanya kazi inayokulipa karibu 5m kwa mwezi lakini inakutumia zaidi ya masaa 10 kwa siku wa zaidi ya siku 5 au 6 kwa wiki.

Hapo maana halisi ya kuishi inakuwa haina maana kama kazi unayofanya itakutenganisha na ndugu jamaa na marafiki na pia mambo ambayo unayapenda nje ya kazi.

Tofauti na mtu anayelipwa laki 8 lakini anafanya masaa 8 kwa siku 5 au pungufu.

Kwa hivi sasa, kazi ambazo ni nzuri zimekuwa 'overlooked' kwasababu ya mazoea, yani tumezoea udaktari, uanasheria, uhandisi nk ndio zinaonekana kazi. Lakini muda wa dhana hizo umeshapita.

Ulimwengu wa sasa unahama sana kwenye kazi za kutumia nguvu na kuwekeza vilivyo kwenye teknolojia, hivyo kazi zinazolipa au zitakazokwenda kulipa zitajikita zaidi kwenye hilo.

Yani wale wanaotumia akili kuliko nguvu ndio watakaoshinda mpambano wa soko la ajira, ama kwa kuajiriwa au kujiajiri.

Sasa, hizi ni baadhi tu ya Careers au sekta ambazo binafsi ningeshauri vijana waziangalie kwa jicho la tatu.

1. Information security, cyber security.
2. Data Scientist.
3. Software developer.
4. Digital marketing.
5. Biomedical engineering.
6. Actuarial mathematics.
7. Health economist.
8. Financial Management.
9. ICT.
10. Health informatics.

Nyingine mtaongeza.

Hizo ni baadhi tu ya fields na Careers ambazo kwa sasa na baadae zitakwamua sana vijana. Na ukiangalia nyingi hapo utaona ni kazi ambazo hazitakuharibia work-life balance huku ukiweka mkwanja mzuri mfukoni.

Achana na kazi ambazo unatumia nguvu nyingi kupata mafanikio average , kama udaktari ,ualimu nk ambao wanazidiwa na ata na traffic police.

Sio kwamba hakuna madaktari au waalimu wenye succes ila its not order of the day.

Kumbuka, efficiency=load/effort. Na zote unaweza kujiajiri.

Sio Unasoma saana, vitu vigumuu kazi ngumu alafu unakuwa bado an average Joe.

Kijana, kupanga ni kuchagua.
.
 
Back
Top Bottom