MUREFU
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 1,331
- 350
WanaJF maambooz kusema ukwel ninaamin msemo unaosema USICHEZEE KAZI CHEZEA MSHAHARA kwan ninakumbuka miaka ya nyuma ilikuwa upatikanaj wa ajira ilikuwa unakulilia au unafuatwa cku unayo graduate ila kwa sasa mmmh!?
Ajira za siku hizi zimekuwa ni kujuana na kusikirizia kwa waliokuwa maofisin mfano AJIRA IKITANGAZWA KWENYE MAGAZETI AU WEBSITE UJUE IMESHACHUKULIWA.
Hivyo kwa hv sasa wanasema kama haumjui m2 hupati kaz kwan asilimia kubwa wanachukuana mfano POST znazotanganzwa wizarani huwa ni za KIMYA KIMYA na wanatangaza post mbili na wakat wanaitaji watu kumi na mbili je hawa magraduate waende wapi je haya ni maisha kwel?
Ajira za siku hizi zimekuwa ni kujuana na kusikirizia kwa waliokuwa maofisin mfano AJIRA IKITANGAZWA KWENYE MAGAZETI AU WEBSITE UJUE IMESHACHUKULIWA.
Hivyo kwa hv sasa wanasema kama haumjui m2 hupati kaz kwan asilimia kubwa wanachukuana mfano POST znazotanganzwa wizarani huwa ni za KIMYA KIMYA na wanatangaza post mbili na wakat wanaitaji watu kumi na mbili je hawa magraduate waende wapi je haya ni maisha kwel?