Uchaguzi 2020 Kawe kunani? Why is a hot cake? Wamejitokeza wagombea 176! What is so special ? Kuchinja watu 175 kubaki 1, is not a joke!.Je, atakuwa nani?

Wanabodi,

Declaration of Interest.

Mimi Paskali Mayalla ni mkazi wa Kawe, nimezaliwa Kawe, nimesoma primary Kawe, nimesoma sekondari Kawe, nimehudhuria JKT kambi ya Mlalakuwa, nimesoma Chuo cha uandishi wa habari IJMC pale Makumbusho, nimeajiriwa TVT pale Bamaga, nimeoa Kawe, naishi Kawe, na sasa nimestaafu rasmi na kurejea nyumbani Kawe, hivyo mimi ni Kawe na Kawe ni mimi!.

Pazia la kujaza fomu za ubunge na udiwani za CCM limefungwa rasmi leo saa 11:00 jioni, jimbo la Kawe, wamejitokeza wagombea 176!, ambapo wagombea 175 watakatwa na atabaki mmoja. Kuchuja wagombea 176 ili kumpata mmoja, it's not a joke, na akipatikana huyo mgombea mmoja, he/she must be the best of the best.

Swali ni Kawe kunani hadi jimbo liwe hot cake namna hii?. Watu 176 kugombea nafasi moja!, this is not normal, haijapata kutokea!, what is so special about Kawe hadi wapigane vikumbo hivyo?!

My Take
Vikao vya maamuzi vya CCM, vitakuwa na kazi kubwa ya ziada ya kuchuja wagombea 176 ili kumpata mgombea mmoja bora, kuliko wote, na akipatikana, he/she will be the best of the best!.
Nashauri wale wagombea wengine 175 watakao chinjjwa, sasa ndio wawe wajumbe wa Kamati ya kujitolea ya ukombozi wa jimbo la Kawe.

Ili kuirahisishia kazi vikao vya mchujo, majina ya wagombea yakiwekwa hadharani, tusaidie kuwafanyia vetting by elimination wale tunaowajua kuwa sio ili jimbo la Kawe lipate Mbunge bora zaidi ya aliyepo.

Kwa vile mimi ni mkazi wa Kawe, na wana Kawe sio wale watu wa type ya t-shirt na kofia, na shibe ya siku moja, vikao vya uteuzi vya CCM vikifanya tena makosa yale yale ya kututeulia wagombea wenye majina makubwa lakini hawana uwezo wa kujieleza na hawana mvuto, wana Kawe kama kawaida yao...
Naomba nisimalizie.
CCM Oye!
Paskali
Vikao vya maamuzi vya CCM, vimefanya na kazi kubwa ya ziada ya kuchuja wagombea 176 ili kumpata mgombea mmoja bora, kuliko wote, na amepatikana, ni Mchungaji/Askofu Dr. Josephat Gwajima, he is the best of the best!.
Sasa sisi wagombea wengine 175 tuliochinjwa sasa ndio tuwe wajumbe wa Kamati ya kujitolea ya ukombozi wa jimbo la Kawe lirejee nyumbani CCM.

Pamoja we can.
P
 
Vikao vya maamuzi vya CCM, vimefanya na kazi kubwa ya ziada ya kuchuja wagombea 176 ili kumpata mgombea mmoja bora, kuliko wote, na amepatikana, ni Mchungaji/Askofu Dr. Josephat Gwajima, he is the best of the best!.
Sasa sisi wagombea wengine 175 tuliochinjwa sasa ndio tuwe wajumbe wa Kamati ya kujitolea ya ukombozi wa jimbo la Kawe lirejee nyumbani CCM.

Pamoja we can.
P
hahahah aisee kama Gwajima the Porn Star ndiyo bora kuliko nyie wote 175 huko CCM mliopambana naye Kawe basi ni wazi chama chenu kimejaa mazwazwa.
 
Vikao vya maamuzi vya CCM, vimefanya na kazi kubwa ya ziada ya kuchuja wagombea 176 ili kumpata mgombea mmoja bora, kuliko wote, na amepatikana, ni Mchungaji/Askofu Dr. Josephat Gwajima, he is the best of the best!.
Sasa sisi wagombea wengine 175 tuliochinjwa sasa ndio tuwe wajumbe wa Kamati ya kujitolea ya ukombozi wa jimbo la Kawe lirejee nyumbani CCM.

Pamoja we can.
P
Hahahaha, anko nategemea ,kuona thread zako za kumpigia debe mgombea wa kawe Mh Gwajima

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaha, anko nategemea ,kuona thread zako za kumpigia debe mgombea wa kawe Mh Gwajima
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanabodi, kwenye siasa, hakuna rafiki wa kudumu, wala adui wa kudumu, kuna just common interest.
Japo katika bandiko hili, nilitofautiana na Gwajima, lakini kufuatia kwa sasa ni mimi ni kada, na mgombea aliyepitishwa na chama chetu kwa jimbo la Kawe ni Gwajima, naomba kudeclare kuwa sasa namuunga mkono Gwajima 100% kwa 100% nikalikomboe jimbo, tulirejeshe CCM!.
Mimi na Gwaji Boy...dam dam!.
P
 
Wanabodi, kwenye siasa, hakuna rafiki wa kudumu, wala adui wa kudumu, kuna just common interest.
Japo katika bandiko hili, nilitofautiana na Gwajima, lakini kufuatia kwa sasa ni mimi ni kada, na mgombea aliyepitishwa na chama chetu kwa jimbo la Kawe ni Gwajima, naomba kudeclare kuwa sasa namuunga mkono Gwajima 100% kwa 100% nikalikomboe jimbo, tulirejeshe CCM!.
Mimi na Gwaji Boy...dam dam!.
P
Hahahaha ,inapendeza sana kusikia nasubiri Kuona aina ya kampeni utakayotumia ktk kumpenia Gwajima

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaha ,inapendeza sana kusikia nasubiri Kuona aina ya kampeni utakayotumia ktk kumpenia Gwajima
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa vile Gwajima ni homeboy, na sisi kwa kabila yetu, sio heshima kwa mwanaume kugombea kitu na mwanamke!, kama kuna mwanamke ana kitu unakihitaji na hana kizingiti, kikawaida huwa unakichukua tuu huna haja ya kuomba. Hivyo sio heshima Gwajima kugombea kitu na huyo binti wa Kawe, na kwa vile hana kizingiti, tutachofanya ni kupeleka tuu posa na kuumaliza mchezo!, na ikitokea posa ikakataliwa, tutatumia mbinu za Chagulaga!.
P
 
Ni tamaa tu hamna lolote kutoridhika na ulicho nacho.....jimbo limevamiwa na wengi hadi wachunga kondoo wa bwana !! Bibilia chini sasa ni siasa mbele...wengine hatukujua kumbe wachunga kondoo nao walikuwa wazee wa kusifu na kuabudu kimya kimya.
... teh teh 🤣 🤣🤣 🤣 kila laheri Askofu Gwajima na wagombea wengine wote.
 
Vikao vya maamuzi vya CCM, vimefanya na kazi kubwa ya ziada ya kuchuja wagombea 176 ili kumpata mgombea mmoja bora, kuliko wote, na amepatikana, ni Mchungaji/Askofu Dr. Josephat Gwajima, he is the best of the best!.
Sasa sisi wagombea wengine 175 tuliochinjwa sasa ndio tuwe wajumbe wa Kamati ya kujitolea ya ukombozi wa jimbo la Kawe lirejee nyumbani CCM.

Pamoja we can.
P
Ukiendelea na kasi hii, basi cheo cha uteuzi utakipata mapema sana na kuanzia sasa anza kujiona kama DAS,RAS,DC au RC wa eneo fulani.

Ikiwezekana anza kuishi maisha kama ya mkurugenzi, katibu mkuu au mkuu wa kitengo fulani nyeti.

Fanya haya utakuja kunishukuru baadae.
 
Kwa vile Gwajima ni homeboy, na sisi kwa kabila yetu, sio heshima kwa mwanaume kugombea kitu na mwanamke!, kama kuna mwanamke ana kitu unakihitaji na hana kizingiti, kikawaida huwa unakichukua tuu huna haja ya kuomba. Hivyo sio heshima Gwajima kugombea kitu na huyo binti wa Kawe, na kwa vile hana kizingiti, tunafofanya ni kupeleka tuu posa na kuumaliza mchezo!, na ikitokea posa ikakataliwa, tutatimia Chagulaga!.
P
Unless otherwise hautakaa uombe tena uongozi maishani mwako kuna kauli mwanasiasa / mwanadiplomasia hatakiwi kuzitoa hata kwa utani... utauliza kwanini (Kauli can always come back and bite your backside) kwa ushauri futa tu hii kauli na ukitaka mimi hii pia tafuta tuondoe ushahidi wa kuteleza kikauli...
 
Unless otherwise hautakaa uombe tena uongozi maishani mwako kuna kauli mwanasiasa / mwanadiplomasia hatakiwi kuzitoa hata kwa utani... utauliza kwanini (Kauli can always come back and bite your backside) kwa ushauri futa tu hii kauli na ukitaka mimi hii pia tafuta tuondoe ushahidi wa kuteleza kikauli...
Mkuu Keyser Soze, kuna kauli mbaya gani nimeitoa itakayopelekea mimi nisiombe tena uongozi?.
P
 
Mkuu Baba Jay Rose, kuwafedhehesha kivipi?.
P
Wewe sio mtu wakurudia matapishi yako, wewe sio wa kucheza dirty game za siasa za Tz... Kitu ambacho hujui reputation yako tulikua tunaitumia kuwa inspire wadogo zetu wanaotaka kuingia kwenye habari.... Now sijui tutaweka wapi sura zetu kwa wadogo zetu !!!
Tunaskitika saana.
 
Wewe sio mtu wakurudia matapishi yako, wewe sio wa kucheza dirty game za siasa za Tz... Kitu ambacho hujui reputation yako tulikua tunaitumia kuwa inspire wadogo zetu wanaotaka kuingia kwenye habari.... Now sijui tutaweka wapi sura zetu kwa wadogo zetu !!!
Tunaskitika saana.
Kosa langu ni nini au ni lipi?.
Nimerudia kula matapishi yangu yapi?.
Dirty games gani mimi nime play?.
P
 
Wanabodi, kwenye siasa, hakuna rafiki wa kudumu, wala adui wa kudumu, kuna just common interest.
Japo katika bandiko hili, nilitofautiana na Gwajima, lakini kufuatia kwa sasa ni mimi ni kada, na mgombea aliyepitishwa na chama chetu kwa jimbo la Kawe ni Gwajima, naomba kudeclare kuwa sasa namuunga mkono Gwajima 100% kwa 100% nikalikomboe jimbo, tulirejeshe CCM!.
Mimi na Gwaji Boy...dam dam!.
P
Nzuri.
 
Kosa langu ni nini au ni lipi?.
Nimerudia kula matapishi yangu yapi?.
Dirty games gani mimi nime play?.
P
Zile article zako za kuikosoa serikali na CCM mpaka ukaitwa bungeni umesahau uncle??

Unafikiri uccm wako utafanya uchambuzi usio na upendeleo??
Unadhani unaweza kukosoa na kukemea mabaya yanayofanywa na Mfumo uliondani yake??
Uncle anyway unaweza kua mtu wa kitengo pengine mambo yamekua magumu imebidi mjitokeze muokoe jahazi kwa namna hii kinyume na hapo Tz yetu NI haitoweza pata maendelea kwa namna hii.

#sio lazima wote tuwe wanasiasa nchi haijegwi upande mmoja(siasa) uzalendo ni kutumika vizuri kwenye taaluma yako!
 
Kwa vile Gwajima ni homeboy, na sisi kwa kabila yetu, sio heshima kwa mwanaume kugombea kitu na mwanamke!, kama kuna mwanamke ana kitu unakihitaji na hana kizingiti, kikawaida huwa unakichukua tuu huna haja ya kuomba. Hivyo sio heshima Gwajima kugombea kitu na huyo binti wa Kawe, na kwa vile hana kizingiti, tutachofanya ni kupeleka tuu posa na kuumaliza mchezo!, na ikitokea posa ikakataliwa, tutatumia mbinu za Chagulaga!.
P
Aibu sana hii unayofanya Mr. Njaa my clan mate! Hii siyo sawa kabisa huwezi kutweza utu wako namna hii kisa unatafuta uteyuzi! Infwakti Magufuli na hao watu wake wamekwisalegea kazi iliyobakia kwetu ni kuchinja tu bila kujali kuangalia Kibra au wapi!
 
Back
Top Bottom