Kawaza nini?

Kawaza nini?

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,101
Reaction score
828,958
IMG-20170129-WA0030.jpg
 
Mchepuko anao uhudumia baba yake wakati wao wanasugua GAGA
 
Kapata huyo.
Hilo toto genius..linajua kuoanisha matukio.
 
Ila kwa kua elimu yetu inaangalia kile ulichopata tu,mwalimu hashughuliki na aliyokosa,kumbe aliyokosa ndiko uvumbuzi wa mtoto uliko jificha,yaani huyo dogo wakisema wamuhoji kwa nini ametoa hayo majibu aisee tunawez kuwa tumegundua kitu kimoja kikubwa sana,inaonyesha mshua wa huyo dogo ni cha pombe hatari yeye kurudi nyumbani ni night kali tuu
 
duh! kumbe ndo hivyo pole sana mkuu naz.. amemwaga madini yote! he he he mengine yakutanabaisha,kuchekesha na kuhuzunisha..
habari mbaya ni kuwa mwezi hauishi hajatia mabegi yake kwangu! so na me nimekubali maana hakuna mkate mgumu mbele ya chai😀
(samahani nimepita mjini nikakuta hili bango "leso zimeisha mjini")
 
duh! kumbe ndo hivyo pole sana mkuu naz.. amemwaga madini yote! he he he mengine yakutanabaisha,kuchekesha na kuhuzunisha..
habari mbaya ni kuwa mwezi hauishi hajatia mabegi yake kwangu! so na me nimekubali maana hakuna mkate mgumu mbele ya chai😀
(samahani nimepita mjini nikakuta hili bango "leso zimeisha mjini")
nakuangalia tu
 
Back
Top Bottom