SSH2025_2030
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 9,661
- 9,802
Wanajamvi hivi katika ya hawa waziri na naibu waziri wa Elimu nani ana afadhali katika utendaji wizarani, kujibu hoja bungeni, na kweli walistahili kupewa wizara hii nyeti(pre-primary, primary, secondary &college&universities zipo chini ya wizara hii ya Elimu, japo kuna baadhi ya majukumu ya Primary &secondary yamepelekwa TAMISEMI au wangepelekwa MIFUGO na UVUVI? au OMR-MAZINGIRA wakapambane na wauza mkaa? (siuliziii kiwango cha Elimu kwao) maana inafahamika wazi.