PreGE2025 Kawaida atinga na 'greda' Msalala kuhutubia wananchi

PreGE2025 Kawaida atinga na 'greda' Msalala kuhutubia wananchi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Wont be the same

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
1,564
Reaction score
2,483
Kijana ana vimbwanga sana

===
Mwenyekiti wa UVCCM Taifa, Mohammed Ali Kawaida (MCC) amehutubia maelfu ya Wananchi wa Halmashauri ya Msalala wilayani Kahama mkoa wa Shinyanga akiingia kwa staili ya pekee ya kutumia greda ambalo mara nyingi hutumika katika utengenezaji wa barabara.

Kawaida ambaye yupo mkoani Shinyanga kwa ziara ya siku mbili na leo Mei 03, 2025 akiwa wilaya ya Kahama amepokea taarifa ya utendaji ya Chama na Jumuiya kisha kutembelea mradi wa Chuo cha Ufundi Stadi wilaya ya Kahama na kuhutubia wananchi wa Msalala.

Akiongea na maelfu ya Wakazi waliojitokeza katika mkutano wa hadhara, Ndg. Kawaida amewasihi Wanachama wa CCM kuendeleza umoja uliopo kuelekea Uchaguzi Mkuu na kujitokeza kujiandikisha kwa wingi awamu ya pili ambayo imeanza tarehe 01 hadi 07 Mei, 2025.
1746352833847.png
 
Hivi chawa wa Ccm mnavyolipwa Tsh 7,800/= alafu mnakaa juani kwanzia asubuhi hadi jioni kusubiri majizi ya ccm yaje kuwadanganya hiyo elfu saba mia nane inawasaidia nini?
 
Zilipendwa, Mambo ya Bashite
 
Kijana ana vimbwanga sana

===
Mwenyekiti wa UVCCM Taifa, Mohammed Ali Kawaida (MCC) amehutubia maelfu ya Wananchi wa Halmashauri ya Msalala wilayani Kahama mkoa wa Shinyanga akiingia kwa staili ya pekee ya kutumia greda ambalo mara nyingi hutumika katika utengenezaji wa barabara.

Kawaida ambaye yupo mkoani Shinyanga kwa ziara ya siku mbili na leo Mei 03, 2025 akiwa wilaya ya Kahama amepokea taarifa ya utendaji ya Chama na Jumuiya kisha kutembelea mradi wa Chuo cha Ufundi Stadi wilaya ya Kahama na kuhutubia wananchi wa Msalala.

Akiongea na maelfu ya Wakazi waliojitokeza katika mkutano wa hadhara, Ndg. Kawaida amewasihi Wanachama wa CCM kuendeleza umoja uliopo kuelekea Uchaguzi Mkuu na kujitokeza kujiandikisha kwa wingi awamu ya pili ambayo imeanza tarehe 01 hadi 07 Mei, 2025.
View attachment 3324339
Makonda akiwa misungwi alitinga na lory sijui ferrari
Yote haya ni kuhadaa umma.
Nani anaweza kutwambia leo matokeo ya ziara za MAKONDA akiwa mwenezi wa ccm??
 
Una uhakika hilo ni greda mkuu?

Kabisa yaani una uhakika?
 
Back
Top Bottom