Kauli zinazokatisha tamaa

Kauli zinazokatisha tamaa

Kuna msemo "Pambana na hali yako" utumie msemo huu hadi siku Muumba anakuita,kama kuna MTU anayeweza kukusaidia kwa hali na Mali kuliko mtu yeyote ni Akili yako mwenyewe, nishaganyaga marafiki wote uchwara naishi kibabiloni na matokeo nayaona
Nimecheka sana,ila pia kuna kitu nimejifunza
 
Back
Top Bottom