Dumuzii
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 3,601
- 8,704
Kuna mmoja aliniambia bila maombi yake nisinge fika pale na ninatembelea nyota take Hadi nikaogopa .. Cha ajabu yeye Hadi Leo Ana randaranda tu [emoji1][emoji1]
Kila nikitaka kumkumbusha kwa nn maombi yake na nyota yake kwake haifanyi kazi kwake moyo unanisita ... Ila nikionana nae naishia kucheka moyoni tu.......Hawa binadamu bana
Kila nikitaka kumkumbusha kwa nn maombi yake na nyota yake kwake haifanyi kazi kwake moyo unanisita ... Ila nikionana nae naishia kucheka moyoni tu.......Hawa binadamu bana