Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 7,376
- 16,537
Wanawake bhana walioolewa kidogo wakiongea hivi ina make sense, lakini hivi viruka njia vinashangaza vinaposema " bila mimi usingefika hapa ulipo " hizo kauli wakati mnaachana au unamwacha.
Wakati yeye kila siku mtu wa kuomba hela kila mnapokutana ni kama unanunua mzigo. Sasa amekusaidia vipi wakati hata sahani hajawahi kununua.
Hivi nye mnawaelewa hawa wanaosema usingefika hapa bila mimi.
Wakati yeye kila siku mtu wa kuomba hela kila mnapokutana ni kama unanunua mzigo. Sasa amekusaidia vipi wakati hata sahani hajawahi kununua.
Hivi nye mnawaelewa hawa wanaosema usingefika hapa bila mimi.


