Yule mama hana mvuto wowote wa kisiasa kwa sasa, bahati mbaya hajui siasa, hana platform imara ya kusimamia siasa, hivyo njia nyepesi kwake kaona ni kukimbilia kwenye kichaka cha kijinsia, anasahau kuwa hicho ni kichaka cha nyasi kavu ndani ya msitu unaotunzwa na wanaume ambao wakiamua kukisambaratisha hutumia njiti moja tu ya kiberiti.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.