Kauli ya Rais Magufuli kuhusu kusajili line za simu: Mwanaharakati ampinga na kuiita Tanzania "Fingerprints Country"

5525

JF-Expert Member
Apr 6, 2014
5,412
6,273
Nimemkoti mwanaharakati mmoja katika ukurasa wake wa facebook ameandika yafuatayo:-


Nimesikiliza video na nimesoma Gazeti la Mwananchi kuhusu Rais wa Tanzania, John Magufuli ambaye amefanya usajili wa laini yake ya simu kwa kutumia alama za vidole.

Kadhalika, amewasisitiza watanzania wote wahakikishe laini zao za simu zinasajiliwa kwa alamu za vidole (fingerprints) kama ilivyoelekezwa na TCRA. Ni kwa maslahi yao.

Hata hivyo, Rais Magufuli ameongeza siku 20 kwa watanzania ambao watashindwa kusajili laini zao kwa alama za vidole ifikapo Desemba 31. Watumie muda wa nyongeza, kufanya hivyo.

"Kwa wale watanzania ambao wengine walikuwa wamelazwa hospitalini wamechelewa wengine labda walikuwa wanasherehekea wamejisahau kusajili laini zao, wapo wengine walikuwa hawajaelewa maana ya kusajili kupitia wito huu watakuwa wameelewa."

"Nimeongeza siku 20 kuanzia tarehe moja (mosi) mwezi wa kwanza mpaka tarehe 20 mwezi wa kwanza...lakini ikifika tarehe 20 mwezi wa kwanza tusilaumiane, " alisema Rais Magufuli.

Alisema usajili wa laini za simu upo kote duniani: "Hata ungeenda ulaya (Europe) na ukienda ulaya lazima utoe paspoti yako ili kusudi upate laini yako isajiliwe."

Ameendelea kuandika na kubainisha kua:
Usajili wa simu wa Ulaya haufanani na usajili mpya wa simu wa Tanzania, ni tofauti sana. Ulaya matumizi ya 'fingerprints' kwa kila jambo, hakuna isipokuwa masuala ya dharura, kama uhalifu.

Lakini Tanzania sasa, kitambulisho cha Mtazania fingerprints, paspoti fingerprints, kusafiri fingerprints, zoezi la kupiga kura fingerprints, simu za mkononi fingerprints, kila jambo. Tanzania bora iitwe 'fingerprints country'

Wasaidizi wa Rais Magufuli, wajaribu kumpa picha kuhusu usajili wa simu kwa mataifa ya nje. Wamfahamishe namna ya usajili unavyokuwa...

Naomba kuwasilisha:
 
Nchi nyingi zipi???
nimeishi nchi 2 kubwa za maghiribi sijawai ulizwa kitambulisho wakati wa kununua simcard
Nchi nyingi wanatumia passport au vitambulisho vyao vya Taifa ili kupata SIM card tu, hakuna ajabu kwa Tz kufanya hivyo, siasa nyepesi zinaonyesha ujinga wa baadhi ya nyumbu, nendeni hata Kenya mjifunze basi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimemkoti mwanaharakati mmoja katika ukurasa wake wa facebook ameandika yafuatayo:-


Nimesikiliza video na nimesoma Gazeti la Mwananchi kuhusu Rais wa Tanzania, John Magufuli ambaye amefanya usajili wa laini yake ya simu kwa kutumia alama za vidole.

Kadhalika, amewasisitiza watanzania wote wahakikishe laini zao za simu zinasajiliwa kwa alamu za vidole (fingerprints) kama ilivyoelekezwa na TCRA. Ni kwa maslahi yao.

Hata hivyo, Rais Magufuli ameongeza siku 20 kwa watanzania ambao watashindwa kusajili laini zao kwa alama za vidole ifikapo Desemba 31. Watumie muda wa nyongeza, kufanya hivyo.

"Kwa wale watanzania ambao wengine walikuwa wamelazwa hospitalini wamechelewa wengine labda walikuwa wanasherehekea wamejisahau kusajili laini zao, wapo wengine walikuwa hawajaelewa maana ya kusajili kupitia wito huu watakuwa wameelewa."

"Nimeongeza siku 20 kuanzia tarehe moja (mosi) mwezi wa kwanza mpaka tarehe 20 mwezi wa kwanza...lakini ikifika tarehe 20 mwezi wa kwanza tusilaumiane, " alisema Rais Magufuli.

Alisema usajili wa laini za simu upo kote duniani: "Hata ungeenda ulaya (Europe) na ukienda ulaya lazima utoe paspoti yako ili kusudi upate laini yako isajiliwe."

Ameendelea kuandika na kubainisha kua:
Usajili wa simu wa Ulaya haufanani na usajili mpya wa simu wa Tanzania, ni tofauti sana. Ulaya matumizi ya 'fingerprints' kwa kila jambo, hakuna isipokuwa masuala ya dharura, kama uhalifu.

Lakini Tanzania sasa, kitambulisho cha Mtazania fingerprints, paspoti fingerprints, kusafiri fingerprints, zoezi la kupiga kura fingerprints, simu za mkononi fingerprints, kila jambo. Tanzania bora iitwe 'fingerprints country'

Wasaidizi wa Rais Magufuli, wajaribu kumpa picha kuhusu usajili wa simu kwa mataifa ya nje. Wamfahamishe namna ya usajili unavyokuwa...

Naomba kuwasilisha:
Tutegemee nini kutoka kwa Mtu mshamba-mshamba, Son Of the Soil From Chakitooo?

Wapendwa nimeogopa kuitaja Chato Nisije kupewa Kesi ya Kuhujumu Uchumi😀
 
Nimemkoti mwanaharakati mmoja katika ukurasa wake wa facebook ameandika yafuatayo:-


Nimesikiliza video na nimesoma Gazeti la Mwananchi kuhusu Rais wa Tanzania, John Magufuli ambaye amefanya usajili wa laini yake ya simu kwa kutumia alama za vidole.

Kadhalika, amewasisitiza watanzania wote wahakikishe laini zao za simu zinasajiliwa kwa alamu za vidole (fingerprints) kama ilivyoelekezwa na TCRA. Ni kwa maslahi yao.

Hata hivyo, Rais Magufuli ameongeza siku 20 kwa watanzania ambao watashindwa kusajili laini zao kwa alama za vidole ifikapo Desemba 31. Watumie muda wa nyongeza, kufanya hivyo.

"Kwa wale watanzania ambao wengine walikuwa wamelazwa hospitalini wamechelewa wengine labda walikuwa wanasherehekea wamejisahau kusajili laini zao, wapo wengine walikuwa hawajaelewa maana ya kusajili kupitia wito huu watakuwa wameelewa."

"Nimeongeza siku 20 kuanzia tarehe moja (mosi) mwezi wa kwanza mpaka tarehe 20 mwezi wa kwanza...lakini ikifika tarehe 20 mwezi wa kwanza tusilaumiane, " alisema Rais Magufuli.

Alisema usajili wa laini za simu upo kote duniani: "Hata ungeenda ulaya (Europe) na ukienda ulaya lazima utoe paspoti yako ili kusudi upate laini yako isajiliwe."

Ameendelea kuandika na kubainisha kua:
Usajili wa simu wa Ulaya haufanani na usajili mpya wa simu wa Tanzania, ni tofauti sana. Ulaya matumizi ya 'fingerprints' kwa kila jambo, hakuna isipokuwa masuala ya dharura, kama uhalifu.

Lakini Tanzania sasa, kitambulisho cha Mtazania fingerprints, paspoti fingerprints, kusafiri fingerprints, zoezi la kupiga kura fingerprints, simu za mkononi fingerprints, kila jambo. Tanzania bora iitwe 'fingerprints country'

Wasaidizi wa Rais Magufuli, wajaribu kumpa picha kuhusu usajili wa simu kwa mataifa ya nje. Wamfahamishe namna ya usajili unavyokuwa...

Naomba kuwasilisha:

Cheti cha kuzaliwa soon itakuwa fingerprint, malipo fingerprint
 
JPM aache kutumia Ulaya na Marekano kama mifano katika kusisitiza hoja zake maana hizi aibu za kuonekana sivyo anavyosema tunazipata na sisi wananchi
Biometric Passport ina vitu vitatu vya msingi ni Fingerprint, Mboni ya jicho,na Sura(uso)
Na ndio makubaliano ya ICAO
Aibu kwako sio kwa nchi jiongeze.
Nchi ya kwanza kutumia BIOMETRIC PASSPORT duniani haikutoka ulaya ilikuwa Malaysia 1998.
 
Ni ujinga kutokuwa na uhuru wa mawazo kwa kufikiri ulaya ni bora zaid kwa kila kt sababu hawajafanya bc na sisi haifai kwetu kufanya au ulaya wakifanya na sisi ndio bora tufanye tena ni ujinga tuheshimu viongozi wetu si kila jambo tupinge na kwa serikari kupitia changamoto za uwiz mitandaoni imeamua kulileta hilii ndio maana na pengine ulaya changamoto kama hizi hazipo kwa hy kwao haina faida yoyote ukiangalia wenzetu ni ngumu kumuibia kutokanaa na uwelewa mpana na elimu sasa maskini ya Mungu wa mama wa vijijini huko wanaibiwa kilaa siku

Sent using Jamii Forums mobile app
 
JPM aache kutumia Ulaya na Marekano kama mifano katika kusisitiza hoja zake maana hizi aibu za kuonekana sivyo anavyosema tunazipata na sisi wananchi
Wataalam wa diplomasia na itifaki wanajua ukiitumia nchi nyingine au entity nyingine kama mfano, unaweza kuanzisha mgogoro wa kidiplomasia kirahisi sana.

Magufuli ana sifa ya kuwa dikteta.

Huku ughaibuni kusajili kitu kwa raia asiye na hatia kwa alama za vidole kama mtu ni raia na si mhalifu ni jambo kubwa sana, kubwa sana kuliko linavyochukuliwa kirahisi bongo.

Wangefanya hivyo Marekani au Ulaya kungekuwa kuna kesi kubwa sana mahakamani watu wamepinga.

Ndiyo maana huyo kiongozi wa Ulaya anaona kufananishwa habari hizi na Ulaya ni kashfa kubwa sana ambazo hazifai kuachwa bila kujibiwa.

Magufuli kama anataka kuwaburuza Watanzania, awaburuze tu.

Asitumie mifano ya Ulaya ambako hakujui kukoje.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NIDA ID haina cha maana zaidi ya hilo jina.

Kama kadi za mpiga kura tulitumia fingerprint, hati za kusafiria huchukuliwa fingerprint.

Leo wahuni wachache na project zao za kupiga hela wanalazimisha tutumie Nida Id..

Kana kwamba hizo ids nyingine zimetolewa somalia na sasa tupo Tz.



Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo siku zilizoongezwa kwa watanzania waliopo vijijini simu zao zitazimwa zote, unapotoa matamko angalia uliko toka kabla hujawa kiongozi , kuwa kiongozi sio kila kitu unafahamu vingine huvifahamu, ndy maana kuchamba kwingi mwisho wake kushika kinyesi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nchi nyingi zipi???
nimeishi nchi 2 kubwa za maghiribi sijawai ulizwa kitambulisho wakati wa kununua simcard

Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wengi Ulaya wanatumia postpaid subscriptions. Yaani unatumia simu yako na bili inaletwa mwisho wa mwezi baada ya matumizi. Bila kukutambua wewe ni nani na address yako huwezi kupewa simcard. Hivyo basi utambulisho ni lazima kabla ya kupewa line ya simu. Uzuri ni kuwa nchi nyingi za Ulaya wanajua kila raia wake na wote wana vitambulisho na address. Kuna line za pre-paid ndizo mtu anaweza kununua bila utambulisho. Lakini system zao ni imara na ni vigumu mtu kufanya uhalifu bila kutambulika hata kama ni kwa kutumia pre-paid. Sioni ubaya kwa Tanzania ku-demand fingerprints iwapo uchukuaji na uhifadhi wa hizo alama za vidole utakuwa wa usalama na umakini.
 
kuna watz mnaamini kufika ama kujua ulaya ni sawa na kuujua ufalme wa mbinguni. ..
Wataalam wa diplomasia na itifaki wanajua ukiitumia nchi nyingine au entity nyingine kama mfano, unaweza kuanzisha mgogoro wa kidiplomasia kirahisi sana.

Magufuli ana sifa ya kuwa dikteta.

Huku ughaibuni kusajili kitu kwa raia asiye na hatia kwa alama za vidole kama mtu ni raia na si mhalifu ni jambo kubwa sana, kubwa sana kuliko linavyochukuliwa kirahisi bongo.

Wangefanya hivyo Marekani au Ulaya kungekuwa kuna kesi kubwa sana mahakamani watu wamepinga.

Ndiyo maana huyo kiongozi wa Ulaya anaona kufananishwa habari hizi na Ulaya ni kashfa kubwa sana ambazo hazifai kuachwa bila kujibiwa.

Magufuli kama anataka kuwaburuza Watanzania, awaburuze tu.

Asitumie mifano ya Ulaya ambako hakujui kukoje.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wengi Ulaya wanatumia postpaid subscriptions. Yaani unatumia simu yako na bili inaletwa mwisho wa mwezi baada ya matumizi. Bila kukutambua wewe ni nani na address yako huwezi kupewa simcard. Hivyo basi utambulisho ni lazima kabla ya kupewa line ya simu. Uzuri ni kuwa nchi nyingi za Ulaya wanajua kila raia wake na wote wana vitambulisho na address. Kuna line za pre-paid ndizo mtu anaweza kununua bila utambulisho. Lakini system zao ni imara na ni vigumu mtu kufanya uhalifu bila kutambulika hata kama ni kwa kutumia pre-paid. Sioni ubaya kwa Tanzania ku-demand fingerprints iwapo uchukuaji na uhifadhi wa hizo alama za vidole utakuwa wa usalama na umakini.
Kuna tofauti kati ya utambulisho na fingerprints.

Fingerprints ni one of highest level of biometric identification, usually reserved for criminal investigations.

Usichanganye viwili hivyo.

Serikali ikianza kukusanya fingerprints willy nilly wakati tunajua hainanuwezo wa kutunza habari hizo za faragha, hilo jambo lina implicatiins mbaya sana.

Kesho unaweza kusikia database kenye fingerprints zote za Watanzania waliojisajiki simu zao limedukuliwa na watu wanaweza kupandikiza fingerprints zozote kwenye uhalifu wowote.

Hapo ndipo mtajua ujinga wa kushupalia fingerprint bika kuwa hata na uwezo wa kuzi secure.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom