Kauli ya Rais Magufuli kuhusu kusajili line za simu: Mwanaharakati ampinga na kuiita Tanzania "Fingerprints Country"

uko sawa ila linking na matching itakuwa ngumu....Hopeful tunaelekea huko mkuu..

mhalifu yoyote mkubwa anahitaji technolojia kufanya uhalifu, anahitaji na mtu wa ndani ili akamilishe uhalifu' hata kabla ya usajili uwezekano ni mkubwa kuwa matapeli walishirikiana na watu wa ndani wa taasisi za simu kufanya uhalifu' sasa leo tumewapa fingerprints zetu, je hawawezi kuzitumia tofauti na inavyotakiwa? Mm naamini ilitakiwa tuwe na database moja tu ya fingerprints then wao wachukue information kutoka kwa hiyo centre. Otherwise serikali inatakiwa kuwa makini sana na control. Isiwaze tu kuwa sasa tutawajua wote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hatujawa na system ku link vyote hivyo...
Anzia polisi hawana hiyo system..

Na anayechukua fingerprint ni TCRA ni chombo cha serikali...



Sent using Jamii Forums mobile app
Kutokuwa na system ya ku-link hakuwezi kuja kwa kudra za Mungu bali tunapaswa kuiweka na uwezo tunao kabisa. Potelea mbali TCRA ni chombo cha nani lakini umakini wetu ni wa kutilia mashaka sehemu zote.
 
Yupo kwenye mashindano ya uzalendo?Inamaanisha viongozi na RAIA wa nchi zingine siyo wazalendo kwa nchi zao?Hivi uzalendo hasa ni kitu gani?
 
Nimemkoti mwanaharakati mmoja katika ukurasa wake wa facebook ameandika yafuatayo:-


Nimesikiliza video na nimesoma Gazeti la Mwananchi kuhusu Rais wa Tanzania, John Magufuli ambaye amefanya usajili wa laini yake ya simu kwa kutumia alama za vidole.

Kadhalika, amewasisitiza watanzania wote wahakikishe laini zao za simu zinasajiliwa kwa alamu za vidole (fingerprints) kama ilivyoelekezwa na TCRA. Ni kwa maslahi yao.

Hata hivyo, Rais Magufuli ameongeza siku 20 kwa watanzania ambao watashindwa kusajili laini zao kwa alama za vidole ifikapo Desemba 31. Watumie muda wa nyongeza, kufanya hivyo.

"Kwa wale watanzania ambao wengine walikuwa wamelazwa hospitalini wamechelewa wengine labda walikuwa wanasherehekea wamejisahau kusajili laini zao, wapo wengine walikuwa hawajaelewa maana ya kusajili kupitia wito huu watakuwa wameelewa."

"Nimeongeza siku 20 kuanzia tarehe moja (mosi) mwezi wa kwanza mpaka tarehe 20 mwezi wa kwanza...lakini ikifika tarehe 20 mwezi wa kwanza tusilaumiane, " alisema Rais Magufuli.

Alisema usajili wa laini za simu upo kote duniani: "Hata ungeenda ulaya (Europe) na ukienda ulaya lazima utoe paspoti yako ili kusudi upate laini yako isajiliwe."

Ameendelea kuandika na kubainisha kua:
Usajili wa simu wa Ulaya haufanani na usajili mpya wa simu wa Tanzania, ni tofauti sana. Ulaya matumizi ya 'fingerprints' kwa kila jambo, hakuna isipokuwa masuala ya dharura, kama uhalifu.

Lakini Tanzania sasa, kitambulisho cha Mtazania fingerprints, paspoti fingerprints, kusafiri fingerprints, zoezi la kupiga kura fingerprints, simu za mkononi fingerprints, kila jambo. Tanzania bora iitwe 'fingerprints country'

Wasaidizi wa Rais Magufuli, wajaribu kumpa picha kuhusu usajili wa simu kwa mataifa ya nje. Wamfahamishe namna ya usajili unavyokuwa...

Naomba kuwasilisha:

Wewe ni pumbavu kubwa jinga.Kwa hiyo na sisi tuanze sasa kutembea uchi kama ulaya.Watu kama nyie kule China inabidi kutunguliwa maana hamuamini chchote kinachofanyika mpaka kifanyike Ulaya kwanza.
 
Back
Top Bottom