42774277
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 6,833
- 8,811
Wizi hauwezi kuisha kamwe. Me mwenyewe nafikiria kwenda kuchonga line ambayo haina jina langu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kama kuna tatizo ila kama wewe ni mwizi utalalamika ila kwa mtu asiye na record za kuwa mwizi hawezi kulalamika.
Ninacho pinga mimi ni kuweka deadline kwenye jambo ambalo ni endelevu kama ili.
Sent using Jamii Forums mobile app