Amesema...
Nawasihi waislam na wasiokuwa waislam kujiandikisha ili kupata haki ya kupiga kura, na wala wasipuuze haki hiyo.
Alipoulizwa kama wapige kura ya SIYO au ya NDIO katika katiba pendekezwa alijibu kwa kusema "Siwaambii waislam na wasiokuwa waislam wakapigie Ndio au Hapana ila kila mtu akatumie akili yake mwenyewe kwa kuona inamfaa au hai mfai, hapo ndipo aamue mwenyewe kupiga Ndio au Hapana".
Chanzo: TBC, kipindi cha asubuhi saa tatu
Nawasihi waislam na wasiokuwa waislam kujiandikisha ili kupata haki ya kupiga kura, na wala wasipuuze haki hiyo.
Alipoulizwa kama wapige kura ya SIYO au ya NDIO katika katiba pendekezwa alijibu kwa kusema "Siwaambii waislam na wasiokuwa waislam wakapigie Ndio au Hapana ila kila mtu akatumie akili yake mwenyewe kwa kuona inamfaa au hai mfai, hapo ndipo aamue mwenyewe kupiga Ndio au Hapana".
Chanzo: TBC, kipindi cha asubuhi saa tatu