BUKU 7, green guard mnawatumia kuvuruga amani ya nchi, kwa kuwapa buku 5, na raba mtoni, inatosha sasa, NI JUKUMU LA KILA MTU KUJILINDA, POLISI NI KAMA MBWA WAKIAMBIWA SHIKA HAWANA MDA WA KU REASON KWAMBA MA BOMU WANAYORUSHA YANAWEZA KUUA HATA MAMA ZAO, DADA ZAO HATA WATOTO WAO, COZ WATU WENGI TUNAO ENDA KWENYE MIKUTANO YA CHADEMA NI SISI WATU MASIKINI, NYIE HAMSIKILIZWI, WATU HAWAJI KWENYE MIKUTANO YENU, MMECHOKWA, MSIFOSI, MNAOGOPA JELA????? LAZIMA MUENDE, NA JUKUMU LA KULINDA AMANI KTK NCHI HII NI LETU SOTE, KAMA POLISI WAMESHINDWA, WACHA TUJILINDE WENYEWE.
INATIA UCHUNGU UKIWAONA WANALALA KWENYE MBAVU ZA MBWA NA FULL SUTI, MISHAHARA MIDOGO, BADO WANATUMIKA KISIASA, KWA FAIDA YA MAFISADI. UPEO MDOGO WA KUFIKIRI NA KUONA MAMBO.
Unatapatapa nini? Subiri uone kama wanaweza ama hawawezi.
Mkuu ukimjadili msigwa jua kwanza elimu yake ili ujue unamjadili mtu wa aina gani kichwa ni hewa tu hana kitu pale kunagwanda tu hakuna mtu pale.
Za mbayuwayu changanya na zako...mtu mzima yuko kazini kuhakikisha Mamvi anatinga Ikulu kwa gharama yoyote ile.kama mnajua chadema ni watu wa matamko tu kwa nini mnahangaika sana na matamko yasiyo na tija? Yaani mpaka Rais wa nchi na jeshi la polisi wanapoteza muda kuandika matamko ya kujibu tamko la chadema lisilo na vitendo? Ina maana viongozi wote hao na wewe unayeandika humu hamna kazi kabisa wala akili mpaka mnajihangaisha namna hii na matamko ya chadema yasiyo na madhara??? Kweli ninyi mna kazi.
Hata hivyo, tangu uanze kuandika mada nyingi sana humu kuna shemeji yangu anayeitwa PASCAL wa JF yeye naona amepunzika siku hizi anafuatilia mada zako tu.
..posho mchezooo..!Una bidii na kazi yako.
hoja ni kwamba, tamko la mbowe kuhusu kuanzisha red brigade ni uongo na wala hana uwezo wa kufanya hivyo.
Chadema hakina fedha (fedha nyingi zinatumika kwa kupeana posho na safari ya ulaya), sasa pesa gani zitalea kikosi?
Fungua ubongo huo wewe msukule.
Huyu naye ndiyo waajabu kabisa alianza wizi kitambo mpaka leo nenda kazini kwake pale kisalawe plan international anasifika kwa majungu udokozi na,majungu na uvivu wa kazi kazi hawezi zaidi kupiga story za chadema mda wote.
Mkuu ukimjadili msigwa jua kwanza elimu yake ili ujue unamjadili mtu wa aina gani kichwa ni hewa tu hana kitu pale kunagwanda tu hakuna mtu pale.
Mkuu, ni vitisho vya Mbowe na CHADEMA yake kutaka green guards ifutwe.
Ila ukweli ni kwamba, chadema hawana pesa na raslimali za kuunda kikosi.
Watu wengi tumedanganyika, hata mimi niliamini wanaweza, ila hawana resources.
Serikali iwapuuze tu!
Subiri uone. Chama kina Shamba la ekari 800 pale Kibaha na Mafunzo yatazinduliwa pale. Hayo ni maneno ya ndani kabisa. KalaghabahoWanaJF!
Mchungaji Msigwa nae kaeleza ya moyoni kuhusu maamuzi ya CHADEMA kuhusu kuanzisha kikosi cha kujilinda (Red Brigade), nayo ni kama ifuatavyo;
"Kwa muda mrefu sana tumewalalamikia kuwa CCM wanaweka watu makambini wale wanaitwa Green Guard, wanatupiga, polisi wamekaa kimya, hawachukui hatua, tunasema tutajilinda, wanasema tutawachukulia hatua. What is this?"
My take;
Ni wazi kuwa CHADEMA haina mpango wa kuanzisha kikosi chochote cha kujilinda, bali ni mbinu tu ya kutaka 'attention' ya serikali na wananchi kwa ujumla.
Mchungaji Msigwa kwenye maelezo yake unaweza kugundua kuwa hana uwakika wa hicho kikosi cha Red Bregade kuundwa, ila utaona kuwa anataka serikali ichukue hatua dhidi ya Green Guards.
Aidha, kwa mazoea tuliyonayo kwa CHADEMA ni kwamba wao ni watu wa matamko, na tukifanya ufatiliaji, matamko yao mengi hayatekelezeki, hivyo ni uzushi tu wa Mbowe kuhusu kuanzishwa kwa hicho kikosi.
Licha ya hivyo, CHADEMA hawana eneo la kuweza kufanya hayo mafunzo, pesa na raslimali zingine, wataalamu wenye kuweza kufundisha hayo mafunzo, sasa watawezaje kuandaa mafunzo ya namna hiyo?