Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
- Thread starter
-
- #21
You missing something somewhere my friend, I think you better get the concept first if what you are saying is the case then hata kina Bush na wao wanastahili kifo unajua wamekufa watu wangapi Vietnam, Iraq, Somalia, Afghanstan na kwingeneko? na mauaji hayo yamefanywa na kusimamiwa na Serikali ya Amerika! Ugaidi una maana pana unaweza ukawa Ugaidi wa Taifa moja kulikandamiza taifa jingine au wa kikundi kukandamiza watu fulani fulani. Ugaidi huo huo unaweza ukafanywa na utawala dhidi ya raia zake.
Ifike sehemu tuone kwa jicho la tatu kuwa OBL kuuliwa sio dawa ila dawa wanyonge wapewe haki zao wenye mafuta waachiwe mafuta yao na wenye almasi waachiwe almasi zao si mnajua ya Savimbi?
Asanteni sana.
Sorry, hujamuelewa mtoa mada wala hujamuelewa alichokisema Mkurugenzi LHRC. Hayo unayosema wewe ni sawa kabisa, wengi wanasema hivyo nami pia. Suala hapa yeye Kiwanga hakupaswa kusema hivyo kwani anawakilisha taasisi inayosimamia misingi ya sheria na haki -- na siyo law of the jungle!
Ni vyema angemwambia mtangazaji wa BBC kwamba "haya nayosema ni maoni yangu binafsi kama Francis Kiwanga, na siyo ta LHRC." Hapo angeeleweka -- angekuwa namsimamo kama wako, mimi na wengine -- lakini siyo kuihusisha taasisi ya LHRC katika ukiukwaji huo wa sheria na haki.
Umemjibu vizuri huyo kilaza!! Mitanzania bana, akili mgando kama nini! hawaelewi chochote kile wanachokisoma. Mada iko wazi kabisa -- lakini Ogah anakazania tu eti kwani Osama naye alitumia haki na sheria etc etc? Yaani huyu Ogah anataka LHRC nayo isimamie na kuafiki kama yale yafanywayo na magaidi -- kwamba mtu akiuwa naye auwawe bila mkondo wa sheria kufuatwa!
Basi LHRC watutangazie sasa kuwa msimamo wao sasa hivi ni huo -- yaani ule wa kutokuwa na ulazima ya kuwapa watuhumia haki ya kujitetea nk nk.
You missing something somewhere my friend, I think you better get the concept first if what you are saying is the case then hata kina Bush na wao wanastahili kifo unajua wamekufa watu wangapi Vietnam, Iraq, Somalia, Afghanstan na kwingeneko? na mauaji hayo yamefanywa na kusimamiwa na Serikali ya Amerika! Ugaidi una maana pana unaweza ukawa Ugaidi wa Taifa moja kulikandamiza taifa jingine au wa kikundi kukandamiza watu fulani fulani. Ugaidi huo huo unaweza ukafanywa na utawala dhidi ya raia zake.
Ifike sehemu tuone kwa jicho la tatu kuwa OBL kuuliwa sio dawa ila dawa wanyonge wapewe haki zao wenye mafuta waachiwe mafuta yao na wenye almasi waachiwe almasi zao si mnajua ya Savimbi?
Asanteni sana.
Hii inahusiana vipi na alichosema Mkurugenzi wa kituo cha haki za binadamu?Inabidi watu waelewe upana wa dhana tunayojadili. Hakuna anayemtetea Osama. Osama alikuwa nembo ya ugaidi duniani kama vile ambavyo America ni nembo ya vita dhidi ya ugaidi. Tunachosema ni kwamba kuuawa kwa Osama ni hatua kubwa katika vita dhidi ya ugaidi maana ni kuua hiyo nembo. Lakini mimi binafsi sikubaliani na Rais Obama anaposema 'Justice has been done'. Haki ingetendeka tu endapo Osama angefikishwa mahakamani ajibu tuhuma zake zote na ahukumiwe kikamilifu kama angepatikana na hatia. Vilevile angekamatwa na kuhukumiwa tungepata fursa ya kujifunza kwa nini alifanya yale aliyoyafanya. Kibaya zaidi ni kwamba hakuna ushahidi kwamba majeshi ya America yalishindwa kumkamata Osama bila kumuua.
Inabidi watu waelewe upana wa dhana tunayojadili. Hakuna anayemtetea Osama. Osama alikuwa nembo ya ugaidi duniani kama vile ambavyo America ni nembo ya vita dhidi ya ugaidi. Tunachosema ni kwamba kuuawa kwa Osama ni hatua kubwa katika vita dhidi ya ugaidi maana ni kuua hiyo nembo. Lakini mimi binafsi sikubaliani na Rais Obama anaposema 'Justice has been done'. Haki ingetendeka tu endapo Osama angefikishwa mahakamani ajibu tuhuma zake zote na ahukumiwe kikamilifu kama angepatikana na hatia. Vilevile angekamatwa na kuhukumiwa tungepata fursa ya kujifunza kwa nini alifanya yale aliyoyafanya. Kibaya zaidi ni kwamba hakuna ushahidi kwamba majeshi ya America yalishindwa kumkamata Osama bila kumuua.
Nakubaliana na wewe Mkuu...........ndio maana kwenye post yangu nimesema hizi definitions za haki za binadamu pengine tuziangalie upya.........its insane kukaa na kuangalia mtu anaua ua tu huku tukisema eti haki za binadamu.............lets draw a line somewhere.......waliozitunga/ziandika hizo sheria/haki za binadamu ni binadamu kama wewe na mimi.....kitu gani kituzuie tusifikir kwa mapana na kuzirekebisha hizi definitions...............
Sawa Mkuu....ndio maana nikasema hizi haki definitions za binadamu inabidi ziangaliwe upya...............
I personally do not condone neither ugaidi nor to kill someone/anyone or what you guys call haki za binadamu.........ninacho taka kusema hapa watu tumekuwa tunapiga kelele kuhusu haki za binadamu pale tu US anapofanya/pambana na wapinzani wake ambao pia walituathiri na sisi hapa nyumbani (Tanzanians died from OBL actions)............I neither saw my brothers or any body condemning Al Qaida terrorist actions.............sana sana serikali yetu ilipoweka sheria za kupambana na ugaidi..........tukaanza kupiga kelele eti tunakuwa singled out............
Alikataa ku-surrender ! Hiyo ya kujua kuwa hakuwa na silaha yoyote ni baada ya kumuua na kumpekua, lakini kabla ya kumpekua huwezi kujiaminisha kwamba hana silaha, pengine ipo kwenye kanzu/msuli?Kama umeangalia na kusikiliza vyombo vya habari leo hii wanasema Osama hakuwa na silaha yo yote. Sasa walishindwa nini kumkamata?
Jamani mbona kila mtu anaongea lake? Tuwekeeni hizo video za Osama anagoma/anakubali kukamatwa na sie tuchague pumba na mcheleAlikataa ku-surrender ! Hiyo ya kujua kuwa hakuwa na silaha yoyote ni baada ya kumuua na kumpekua, lakini kabla ya kumpekua huwezi kujiaminisha kwamba hana silaha, pengine ipo kwenye kanzu/msuli?
Jamani mbona kila mtu anaongea lake? Tuwekeeni hizo video za Osama anagoma/anakubali kukamatwa na sie tuchague pumba na mchele
Inabidi watu waelewe upana wa dhana tunayojadili. Hakuna anayemtetea Osama. Osama alikuwa nembo ya ugaidi duniani kama vile ambavyo America ni nembo ya vita dhidi ya ugaidi. Tunachosema ni kwamba kuuawa kwa Osama ni hatua kubwa katika vita dhidi ya ugaidi maana ni kuua hiyo nembo. Lakini mimi binafsi sikubaliani na Rais Obama anaposema 'Justice has been done'. Haki ingetendeka tu endapo Osama angefikishwa mahakamani ajibu tuhuma zake zote na ahukumiwe kikamilifu kama angepatikana na hatia. Vilevile angekamatwa na kuhukumiwa tungepata fursa ya kujifunza kwa nini alifanya yale aliyoyafanya. Kibaya zaidi ni kwamba hakuna ushahidi kwamba majeshi ya America yalishindwa kumkamata Osama bila kumuua.
"Wazungu wanasema he who pays the piper, plays the tune," sasa kama umeshamlipa piper kwa nini wewe tena ndio u play the tune? Haahahahaaaa...wazungu wanasema he who pays the piper, plays the tune.