Kauli ya mke: Kwanini moyo wangu umekuchoka?

Kauli ya mke: Kwanini moyo wangu umekuchoka?

Azoge Ze Blind Baga

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2019
Posts
455
Reaction score
1,730
Kama unavyosoma hapo kwenye title, hiyo ni kauli nliyoambiwa na mke wangu wa ndoa na nimezaa nae watoto kadhaa copyright na mimi.

Kimsingi tunaishi mbalimbali muda mrefu sana kutokana na masuala ya kikazi na utafutaji. Nahisi tayari anakandwa huko. Kwa kauli hii kuna ndoa kweli hapa?

Mi sijamjibu nimeendelea tu na harakati zangu za maisha.

Kila la kheri Young Africans.
 
Kisayansi tendo la ndoa mara kwa mara ndo linatengeneza bond of love, kukaa mbali kwa muda mrefu ile bond hufifia na kuisha kabisa, mbaya zaidi huko mliko ukweli ni kwamba kila mmoja wenu lazima anakipoozeo hivyo mnatengeneza bond nyingine tofauti huku baina yenu bond inazidi kufifia.
Shukuru amekuchana ukweli kubaliana na matokeo, la sivyo mwana kulifind mwana kuliget
 
Chapa talaka fasta,coz hakuna kauli kubwa zaidi ya hiyo kama unangojea lingine,hapo ni umeambiwa kua huna nafasi kwake na hana feeling na wewe.
 
Haujatuelezea mahusiano yenu kwa sasa yapoje.. mnagombana sana? Je anaonesha wivu juu yako? Je unamtunza? Unamtimizia mahitaji yake muhimu kama awali?
 
Niliwahi kusikia kutoka kwa wataalam wa mambo kuwa; 'Kufanya mapenzi kunachangia 20% kwenye Upendo ulionao, lakini usipofanya mapenzi kunachangia 80% ndoa yako kuvunjika'.
 
pole ndo uanaume. Ila hongera umepata mme mweza wa kukusaidia
 
Kama unavyosoma hapo kwenye title, hiyo ni kauli nliyoambiwa na mke wangu wa ndoa na nimezaa nae watoto kadhaa copyright na mimi.

Kimsingi tunaishi mbalimbali muda mrefu sana kutokana na masuala ya kikazi na utafutaji. Nahisi tayari anakandwa huko. Kwa kauli hii kuna ndoa kweli hapa?

Mi sijamjibu nimeendelea tu na harakati zangu za maisha.

Kila la kheri Young Africans.

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
Jitahidi saana uishi pamoja na familia yako, Haina maana KAZI ziwatenganishe Kisha mharibu familia. Wanaoumia na kuteseka Kwa maisha Yao yote ni Watoto. Tuwaonee huruma
 
Itakua kuna jamaa ana mchakata huo sasa sijui kanichoka kwa lipi kwa sababu tunakutana kwa msimu sina ugomvi nae kaibuka tu na kauli hii

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
Hili halipingiki hawa viumbe hawawezi kuvumilia upweke kwa muda mrefu ndio nature yao, japo wanauwezo wakuvumilia kutosex muda mrefu ila upweke utawasumbua lazima awe na mtu karibu wakumpa company, katika hiyo kampani
Lazima atashawishika kumtunuku ikiwa hiyo kampani inamjali na kumfurahisha.

Kuna coworker mwenzangu aliwahi nitongoza live akanichana mumewe yuko mbali kikazi hivyo anahitaji kampani hata ya kuwatunatoka out w/ends. Ila mi nikajua tu hii imeenda, nlitaka kujiongeza w/end moja j/mosi nikampanga tuonane ila ikafeli coz ye ni msabato, nlishukuru mungu ilifeli maana nikawaza what if ndo mi ningekuwa mumewe nlie mbali. I felt guilty
Nkampotezea mazima alinichukia sana, mpaka watu pale ofisini wakanotice tofauti ilyopo, sema nilibahatika kuhama kituo hapo ndo nkapata uafadhali.
 
Jitahidi saana uishi pamoja na familia yako, Haina maana KAZI ziwatenganishe Kisha mharibu familia. Wanaoumia na kuteseka Kwa maisha Yao yote ni Watoto. Tuwaonee huruma
fact!
 
Kama unavyosoma hapo kwenye title, hiyo ni kauli nliyoambiwa na mke wangu wa ndoa na nimezaa nae watoto kadhaa copyright na mimi.

Kimsingi tunaishi mbalimbali muda mrefu sana kutokana na masuala ya kikazi na utafutaji. Nahisi tayari anakandwa huko. Kwa kauli hii kuna ndoa kweli hapa?

Mi sijamjibu nimeendelea tu na harakati zangu za maisha.

Kila la kheri Young Africans.

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app

Wanawake sisi akili zetu anazijua aliyetuumba tuu
Hapo utakuta kakumiss tuu ndio kakutolea neno lote hilo.
Ukikimbilia kusema anakandwa utaharibu ndoa na familia yako bure. Pambana apate haja ya moyo wake.... Kama ni kuishi pamoja au kupata majibu ya maswali yake mpe


Ishi nae kwa akili
 
Wahuni watakuambia ANAKANDWA..ila tu nikwambie huyo mke yupo mpweke sana na hyo inamsababishia hasira na vugu vugu ndani ya moyo wake..jambo la msingi hapo ni kuhakikisha unarudi kuwa karibu nae na kupiga show ya KIBABE
 
Back
Top Bottom