omujubi
JF-Expert Member
- Dec 6, 2011
- 4,444
- 2,703
Wakuu hii iko kwenye 'twitter' ya waziri wa mambo ya nje Mh. Benard Membe. Naomba tusaidiane mawazo na michango juu ya kauli hii. Je kunaweza kuwa na madhara yoyote kidiplomasia?
Bernard Membe ‏@BernardMembe 2h Serikali ya Malawi iache kutapatapa. Waheshimu Makubaliano yetu ya kuliachia jopo la usuluhishi la SADC lifanye kazi yake
Retweeted by Jakaya Kikwete