Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,967
- 11,214
Ni kanuni zilizotungwa na NEC, walishirikishwa vyama vyote way kabla ya mimi na wewe kuzijua na wakabariki kabla azijatolewa kwa umma...tatizo lenu ni kuamini taratibu za CCM mnadhani ndiyo taratibu za nchi.
..kutafuta wadhamini kimya-kimya ni utaratibu wa CCM.
Kama nilivyokwambia kuna reasons behind hizo kanuni na tarehe za events zinazopangwa.