Facts1
JF-Expert Member
- Dec 23, 2009
- 307
- 28
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe amesisitiza msimamo wa Tanzania wa kutotambua Baraza la Mpito la Libya (NTC) na badala yake amelitaka litekeleze mpango wa amani wa Libya uliokubaliwa na Umoja wa Afrika (AU). --HabariLeo.
My take:
Kama Membe halitambui baraza la mpito kwa nini basi analitaka litekeleze mpango wa amani hiyo authority litatoa wapi, kwa kulitaka litekeleze ina maana analitambua kuwa lipo. Kama halitambui ina maana bado anaitambua serikali ya Gaddafi kwa vile nchi haitabaki vacuum bila utawala kwa nini basi asiiambie serikali ya Gaddafi anayoitambua itekeleze huo mpango instead analiambia baraza asilolitambua litekeleze? Haiingii akilini.
My take:
Kama Membe halitambui baraza la mpito kwa nini basi analitaka litekeleze mpango wa amani hiyo authority litatoa wapi, kwa kulitaka litekeleze ina maana analitambua kuwa lipo. Kama halitambui ina maana bado anaitambua serikali ya Gaddafi kwa vile nchi haitabaki vacuum bila utawala kwa nini basi asiiambie serikali ya Gaddafi anayoitambua itekeleze huo mpango instead analiambia baraza asilolitambua litekeleze? Haiingii akilini.