Habari Wana JF.
Viongozi wetu wanaonyesha udhaifu mkubwa ktk kuisimamia Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa kauli ya mambe kwamba watu auwatanzania wanaoishi nje ya mkoa wa Dsm wasiibngie Dsm, ni sawa na kuvunja katiba yetu. Katiba yetu inamtaka raia ambaye ni mtanzania kuwa na haki ya kutembea eneo lolote ndani ya nchi yake bila kuzuia na mtu yeyote na wakati wowote, sasa huyu membe anaposema watu wasije Dsm eti kwa sababu ya ujio wa Obama, hii ni kinyume na katiba, kwa ufupi membe amevunja katiba na inafaa ashitakiwe kwa kosa hilo.
Nawasilisha.:flame:
Viongozi wetu wanaonyesha udhaifu mkubwa ktk kuisimamia Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa kauli ya mambe kwamba watu auwatanzania wanaoishi nje ya mkoa wa Dsm wasiibngie Dsm, ni sawa na kuvunja katiba yetu. Katiba yetu inamtaka raia ambaye ni mtanzania kuwa na haki ya kutembea eneo lolote ndani ya nchi yake bila kuzuia na mtu yeyote na wakati wowote, sasa huyu membe anaposema watu wasije Dsm eti kwa sababu ya ujio wa Obama, hii ni kinyume na katiba, kwa ufupi membe amevunja katiba na inafaa ashitakiwe kwa kosa hilo.
Nawasilisha.:flame: