makoko jumanne
JF-Expert Member
- Apr 20, 2015
- 584
- 164
Kauli ya mwenyekiti wa CHADEMA mheshimiwa Mbowe ya kuwataka wapiga kura kupiga kura na kulinda kura zao ni ya uchochezi kwa kuwa serikali imeshatoa maelekezo na sheria ya uchaguzi iko wazi.
Lakini pia sheria nyingine kuhusu ulinzi na usalama zinakataza watu kukusanyika bila kubali kuwa ni kosa la jinai hivyo binafsi simuelewi Mbowe dhamira yake hasa katika hili ni nini.
Kweli huyu ni kiongozi wa kuaminiwa anayetaka kuchochea vurugu kwa kuwa vyama vyenye wagombea ni vingi.Je, iweje kila chama kiwaamuru wafuasi wake kukusanyika mita200 kulinda kura zao.Je, hali itakuwaje?
Busara itumike katika hili tupige kura turudi majumbani tuachane na ushabiki.
Lakini pia sheria nyingine kuhusu ulinzi na usalama zinakataza watu kukusanyika bila kubali kuwa ni kosa la jinai hivyo binafsi simuelewi Mbowe dhamira yake hasa katika hili ni nini.
Kweli huyu ni kiongozi wa kuaminiwa anayetaka kuchochea vurugu kwa kuwa vyama vyenye wagombea ni vingi.Je, iweje kila chama kiwaamuru wafuasi wake kukusanyika mita200 kulinda kura zao.Je, hali itakuwaje?
Busara itumike katika hili tupige kura turudi majumbani tuachane na ushabiki.