Mjomba wa taifa
JF-Expert Member
- Apr 20, 2012
- 231
- 161
Kama serikali imeshindwa kutekeleza mahitaji ya madaktari hadi kufikia uamuzi wa kuweka zana za kazi chini, nilitarajia serikali itoe tamko la kuwatumia waganga wa Jadi katika hospitali zote za rufaa.
Ni ukweli usio na shaka kuwa serikali haipo tena radhi kutekeleza mahitaji ya madaktari na pia madaktari wamechoka kudhalilishwa.
Nchi ina waganga wengi wa jadi ambao nadhani viongozi wengi wa serikali wamekuwa wakipata huduma toka kwa wataalamu hawa. Kauli ya mheshimiwa Waziri Mkuu ya kuahidi serikali kutoa tamko jana na kufuatiwa na kauli yake ya LIWALO NA LIWE nilitarajia kusikia tamko rasmi kuwa Serikali imeamua kutumia waganga wa Jadi katika hospitali zote.
Ni ukweli usio na shaka kuwa serikali haipo tena radhi kutekeleza mahitaji ya madaktari na pia madaktari wamechoka kudhalilishwa.
Nchi ina waganga wengi wa jadi ambao nadhani viongozi wengi wa serikali wamekuwa wakipata huduma toka kwa wataalamu hawa. Kauli ya mheshimiwa Waziri Mkuu ya kuahidi serikali kutoa tamko jana na kufuatiwa na kauli yake ya LIWALO NA LIWE nilitarajia kusikia tamko rasmi kuwa Serikali imeamua kutumia waganga wa Jadi katika hospitali zote.