Wajinga wengi wanatokea CCM lumumba🗣️Tulifuta ujinga tukiwa na chuo kikuu kimoja, lakini hivi sasa tuna vyuo vikuu zaidi ya 50 lakini tuna wajinga wengi.
Mpuuzi huyo,hao waluofutwa ujinga na chuo kikuu kimoja ndiyo wale wavaa suti jua Kali!?..walioua viwanda na kuuza nchi afadhali ya mangungo?🗣️Tulifuta ujinga tukiwa na chuo kikuu kimoja, lakini hivi sasa tuna vyuo vikuu zaidi ya 50 lakini tuna wajinga wengi.
Nachelea kuamini kama baba askofu wangu kama ni mjinga kweli. Ngoja nisome katiba yetu maana itakuwa ni hasara kwa kanisa na DKMpuuzi huyo,hao waluofutwa ujinga na chuo kikuu kimoja ndiyo wale wavaa suti jua Kali!?..walioua viwanda na kuuza nchi afadhali ya mangungo?