Omutwale
JF-Expert Member
- Feb 4, 2008
- 1,429
- 1,045
Nimefuatilia vyombo vya habari Clouds FM na ITV kusikia tena marudio ya kile alichosema JJ moja kwa moja toka kinywani akiwa Bungeni na kikapelekea yeye kutolewa nje ya Bunge bila mafanikio. Sijajua hii ni mpango wa maksudi au bahati mbaya. Inakuwaje wamenukuu sauti ya Ndugai na wanashindwa kurusha sauti ya mkosaji? Usawa uko wapi na kwa nini wasikilizaji na watazamaji hatupewi fursa ya kusikia na kuhukumu wenyewe? Na kwa nini haki aliyopewa supika kusikika wkt akisoma vifungu vya hukumu hapewi JJ kusikika wakati anatenda kosa?
Nisaidieni majibu na mtazamo wenu.
Nisaidieni majibu na mtazamo wenu.