Mtanzania haswa
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 663
- 99
HK uko wapi unashambuliwa haujibu. unaweza ona title nzuri inakusifia ila contents zinakuponda, hahaha I LOVE JF
HK uko wapi unashambuliwa haujibu. unaweza ona title nzuri inakusifia ila contents zinakuponda, hahaha I LOVE JF
Hahahaha,
Kigs anasoma ishara za nyakati. Tunapompiga mawe JF inasaidia mara nyingine, maana pale mwanzo alikuja hapa na habari za kutaka kila mtu ajisajili na jina lake halisi ( which the people who are looking for intelligensia from the Igunga massive would really love).
Mie namnywesha dawa yake mwenyewe, Kigs tafuta intellijence kuhusu wawekezaji, usitafute kujua Kiranga jina lake halisi ni nani (intellijensia ya watu wa JF).
It's funny, reminds me what Busta Rhymes (OK, OK, you can't quote Shakespeare all the time) in "Abandon Ship"
"You Nig**rs talk shyt, then they abandon ship".
Kigs ali talk shyt ( endorsing censorship and dossier building) sasa ana "abandon ship" like a Norwegian rat in a sinking Titanic.
‪Busta Rhymes - Abandon Ship‬‏ - YouTube
Mmmmm, kama ni hivyo basi magamba hayaaminiki!Aliwahi kumpinga Tundu Lissu kuhusu ubovu wa mikataba mibovu ya madin, halaf kesho yake akaja na hoja hiyo hiyo kama sio chz ni nn?
Na wewe gamba dogo, FF, kumbe huwa unaongea vitu vya maana siku moja moja? Hongera sana!Mikataba yote ya uchimbaji wa madini ingekuwa inalazimisha Watanzania wawe na hisa zisizopunguwa asilimia ya kuweza kufanya joint decision na mwekezaji.Tena sio Serikali au mashirika ya serikali pekee ndio yawe na hisa, la hasha, Serikali / mashirika ya serikali yame na hisa kiasi cha wao kuweza kuwepo kwenye board ili waelewe kinachoendelea na si kuhadithiwa tu, lakini wafanya biashara binafsi wa kitanzania wawezeshwe kuwemo kwenye hisa za kila uwekezaji hapa Tanzania.
Hiyo sentensi nzito. Pia ni ambiguous. Ikitafsiriwa kwa hisia za wengi kwako yaweza thibitisha hofu zao kwako huko mjengoni. Personal gain.Nipo Tu Ndg yangu, nawasoma sana. Kuna mengi sana wasiyoyafahamu, hivyo nawaelewa sana tu sema hawanikoseshi usingizi!
hapa ndio tatizo languNipo Tu Ndg yangu, nawasoma sana. Kuna mengi sana wasiyoyafahamu, hivyo nawaelewa sana tu sema hawanikoseshi usingizi!
You speak my languageKigwangala bado hajaiva anaonekana tu hata anavyoongea ni kama anatafuta upande wa kusimamia ila hajui achague wapi anataka kuwa kotekote,hk elewa mdundo uliopo unachezwaje si kurukaruka
usijali sana madongo ni sehemu ya siasaNipo Tu Ndg yangu, nawasoma sana. Kuna mengi sana wasiyoyafahamu, hivyo nawaelewa sana tu sema hawanikoseshi usingizi!
Mmmmm, siasa bwana, kaaazi kweli kweli! Ila magamba yamefunika sana integrity na hisia halisi za watu! Huyu Dr anaonekana akiondoka kwenye Chama cha Magamba atakuwa moto wa kuotea mbali! Tatizo la chama hicho utashangaa wanamwambia kuwa yeye si raia wa Tanzania!Kigwangala bado hajaiva anaonekana tu hata anavyoongea ni kama anatafuta upande wa kusimamia ila hajui achague wapi anataka kuwa kotekote,hk elewa mdundo uliopo unachezwaje si kurukaruka
Umeongea point tupu mkuu! Hiyo sentensi ifafanuliwe!Hiyo sentensi nzito. Pia ni ambiguous. Ikitafsiriwa kwa hisia za wengi kwako yaweza thibitisha hofu zao kwako huko mjengoni. Personal gain.Na pia yaweza kuwa kinyume chake when pondered in your favor.Ukweli unajua mwenyewe.Na sisi public tutajua soon, siku hizi siri hamna hata ya maliwatoni kwa mkulu wa inji.
hana uwezo wa kufafanuaUmeongea point tupu mkuu! Hiyo sentensi ifafanuliwe!
What's this??? Kama yapi tusiyoyafahamu kwanini usiyaseme kama kweli unayajua badala yake unabaki kuongea kana kwamba you think you know so much more than any other person in here.Nipo Tu Ndg yangu, nawasoma sana. Kuna mengi sana wasiyoyafahamu, hivyo nawaelewa sana tu sema hawanikoseshi usingizi!
kaanza siasa juzi anaongea hivyo... anyway hata kujikweza ni kichaa piaWhat's this??? Kama yapi tusiyoyafahamu kwanini usiyaseme kama kweli unayajua badala yake unabaki kuongea kana kwamba you think you know so much more than any other person in here.
Anadai kuna mengi tusiyoyajua na kama yeye ni mwanasiasa halisi anatakiwa kutoa dukuduku walilo nalo washabiki wake!hana uwezo wa kufafanua
"Ili kulinda heshima/hadhi ya Serikali!"To me i just don't trust these guys at all, kwanini hawakuipinga bajeti ya Ngeleja kwa sauti moja instead wakaenda kukaa kikao kwanza