Kauli ya CCM wananchi wataamua...

Kauli ya CCM wananchi wataamua...

Sir R

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2009
Posts
2,175
Reaction score
300
Mara nyingi tumewasikia wabunge toka CCM na viongozi wa serikali kuwa wananchi wataamua kuhusu tabia ya wabunge toka CDM. Sielewi vizuri maamuzi gani yanatarajiwa na wana CCM, ya wananchi kuwakataa wabunge wa CDM au kuwakataa wao toka CCM ? Ni kauli tata na inarudiwarudiwa mara kwa mara.

Itakuwaje wananchi wakiamua kinyume na CCM ? Labda huwawanasema bila kuatafakari maana halisi ya kauli hizo.

Ninasubiri maamuzi tarajiwa.
 
Na tutaamua kweli, si wameshaona mwaka jana tumetikisa kidogo tu mpaka leo hawaelewani.
 
Kauli hizi zinatolewa na wabunge wa viti maalum ambao ndo wamejaza bunge. Wanachofanya ni kushangilia pumba hata kama mbunge anashukuru kwa kugongwa vizuri na mumewe, wao wanashangilia na kupiga makofi.
 
Ndo wale waliokuwa wanapiga vigelegele wakati mwenzao JOb Ndugai akitelemsha pumba zake kwenye ule mdahalo wa Star TV. CCM wamelewa madaraka, wabunge wake wote hawana utashi na nchi hii. moto tutawawashia mwaka 2015
 
magamba weshachanganyikiwa. Wananchi tushaamua mwaka jana wakatufitini. Na tutazidi kuamua. Ulianguka ukuta wa Berlin sembuse magamba!
 
Waache na tabia zao za wizi wa kura sasa tunamikakati na tutanikiwa kulinda kura zetu kwa ngazi zote na wao wataona effect ya maamuzi yetu
 
Wanachokinena majibu watakuwa nayo novemba 2015
 
Mara nyingi tumewasikia wabunge toka CCM na viongozi wa serikali kuwa wananchi wataamua kuhusu tabia ya wabunge toka CDM. Sielewi vizuri maamuzi gani yanatarajiwa na wana CCM, ya wananchi kuwakataa wabunge wa CDM au kuwakataa wao toka CCM ? Ni kauli tata na inarudiwarudiwa mara kwa mara.

Itakuwaje wananchi wakiamua kinyume na CCM ? Labda huwawanasema bila kuatafakari maana halisi ya kauli hizo.

Ninasubiri maamuzi tarajiwa.


wananchi wa mwaka 47 hawapo siku hizi.
 
Kila jambo lina wakati wake
Wananchi tuliamua na tutaendelea kuamua ipasavyo
Hatuhitaji kuamuliwa tena hata kwa kugawiwa chumvi
 
Kauli hizi zinatolewa na wabunge wa viti maalum ambao ndo wamejaza bunge. Wanachofanya ni kushangilia pumba hata kama mbunge anashukuru kwa kugongwa vizuri na mumewe, wao wanashangilia na kupiga makofi.

Kwani kina Lusinde na Dr Kingwangwala nao ni viti special ?
 
Kauli hizi zinatolewa na wabunge wa viti maalum ambao ndo wamejaza bunge. Wanachofanya ni kushangilia pumba hata kama mbunge anashukuru kwa kugongwa vizuri na mumewe, wao wanashangilia na kupiga makofi.

Mkuu umenena, yaani hawa wabunge wa viti maalum wa ccm wakipewa nafasi ya kutoa hoja, wao wanabaki kushukuru tu, atamshukuru mumewe kwa muda mrefu kwa magoli ya usiku, mpaka muda unaisha mwishowe utasikia naungo hoja mkono.
 
ukisikia wanasema hivyo jua maji yamezidi unga subiri Igunga ndio utaona wananchi watakavyoamua
 
hayo ni maneno aliyoyasema EL!kuwaambia wana magamba wenzake
 
Mgaa gaa upwa haaachi......................
Hii ndiyo imewafika wana magamba maamuzi ya wana nchi waoo wenyewe walishaanza kuyaona 2010 japo kuwa walichakachuaaa.bila kuona maamuzi ya wananchi hata unafiki wakujivua magamba usingekujaa.
 
We waache tu watatupigia magoti lakini hawatapata kitu na wakiendelea kutuudhi tutawapopoa na mawe pia. Wamuulize mwenzao wa Ludewa!
 
Mara nyingi tumewasikia wabunge toka CCM na viongozi wa serikali kuwa wananchi wataamua kuhusu tabia ya wabunge toka CDM. Sielewi vizuri maamuzi gani yanatarajiwa na wana CCM, ya wananchi kuwakataa wabunge wa CDM au kuwakataa wao toka CCM ? Ni kauli tata na inarudiwarudiwa mara kwa mara.

Itakuwaje wananchi wakiamua kinyume na CCM ? Labda huwawanasema bila kuatafakari maana halisi ya kauli hizo.

Ninasubiri maamuzi tarajiwa.

Well, amazing wanapata shinikizo wakisikia wapinzani wakisema tutauomba uma uamue, most like the same thing, lakini sidhani kama huwa wanaifikiria hiyo kauli wanapoitamka, inawezekana kabisa hawaielewi, the don't usually read between lines!
 
CCM inaelekea hawajui maamuzi ya wananchi ni kinyume na chama chao. Huku mtaani watu wanatamani ifike wakati wa uchaguzi. Moshi kuna kipindi madiwani wa CCM walikuwa na kiburi kwani walikuwa wengi kuliko wa CDM lakini uchaguzi wa 2010 watu wakaipiga chini CCM wakupata madiwani wa tatu kati ya 21. CCM sasa Moshi mjini ni kama haipo.
 
Back
Top Bottom