Mungu jalia hii kasi ya CDM iendelee hivihivi na uelewa uongezeke zaidi ili tuwatie adabu hawa Magamba maana wanafikiri watz hawa wa kipindi kile na zaidi walimu tuanze waone hiyo shughuli yake,lazi;a ni create wapiga kura kibaoooo
<br />Mwaka nimeamua kushiriki mikutano ya serikali mitaa bila kukosaa na nimegundua upuuzi mwingi unaofanywa na viongozi wa CCM,<br />
<br />
Nimekuwa nafuatilia mambo mbalimbali ya utendaji ndani ya mtaa ninaoishi.
<br /><br />Ndo wale waliokuwa wanapiga vigelegele wakati mwenzao JOb Ndugai akitelemsha pumba zake kwenye ule mdahalo wa Star TV. CCM wamelewa madaraka, wabunge wake wote hawana utashi na nchi hii. moto tutawawashia mwaka 2015
wale wamama wanagawa sana mkia wakiwemo na baadhi ya wabunge wanaume wa CCM.
wananchi wa mwaka 47 hawapo siku hizi.