Losambo
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 2,612
- 864
Wanajamvi kauli ya ni keri kuchagua jiwe kuliko kuichagua CCM imekuwa mwiba maana imesambaa kwa kasi sana na kuwa kampeni tosha kwa CDM!!!!!
Mlio Arusha ni mashahidi wa hilo, kila unayemuuliza anasema Lema kaonewa lakini wanajisumbua tu sisi tupo tayari kulipia jiwe kura kuliko CCM!!!!
Hali hii inaashiria anguko kubwa sana la CCM na kibaya zaidi pandikizi la chuki ambao sidhani kama litaisha leo.
Ushauri kama CCM ina macho basi iachane na mizengwe hii ya kijinga iangalie hali ya taifa letu jinsi inavyokwenda.
Nawasilisha.
Mlio Arusha ni mashahidi wa hilo, kila unayemuuliza anasema Lema kaonewa lakini wanajisumbua tu sisi tupo tayari kulipia jiwe kura kuliko CCM!!!!
Hali hii inaashiria anguko kubwa sana la CCM na kibaya zaidi pandikizi la chuki ambao sidhani kama litaisha leo.
Ushauri kama CCM ina macho basi iachane na mizengwe hii ya kijinga iangalie hali ya taifa letu jinsi inavyokwenda.
Nawasilisha.