GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,648
- 10,843
Anamaanisha anachosema?
Amevunja sheria?
Kauli yake inaashiria nini?
Kama nimemwelewa, anasema waliomwua Magufuli ni Samia na Kikwete!
Amemaanisha nini hasa?
Huyo kijana yupo hai kweli?Anamaanisha anachosema?
Amevunja sheria?
Kauli yake inaashiria nini?
Kama nimemwelewa, anasema waliomwua Magufuli ni Samia na Kikwete!
Amemaanisha nini hasa?
Magufuli alikuwa hana upeo wa kuona na kuchambua mambo. Waliokuwa wanampenda na kumwambia ukweli aliwaona ni maadui, waliokuwa wanamsifia kinafiki na hawamtaki, ndiyo aliwaona wa maana. Kama aliuawa basi walitumia mwanya wa korona kwa sababu aliipuuza.Ndiyo hao hao tu hakuna mwengine
Anamwambia nani?Anamaanisha anachosema?
Amevunja sheria?
Kauli yake inaashiria nini?
Kama nimemwelewa, anasema waliomwua Magufuli ni Samia na Kikwete!
Amemaanisha nini hasa?
Wapi?Anamwambia nani?
Sasa si Aende akawashtaki kwa mauaji!