Kauli mbiu ya Total War yawakera baadhi ya mashabiki wa Simba SC

yani yanga wakitaka ubingwa wa ligi mpaka hapo watakapo badilisha hilo lislogan lao "daima mbele nyuma mwiko"
mpaka wautoe huo mwiko huko nyuma kwao ndo watapata ubingwa VPL
Iyo"Daima"ipo mbele.
"Mwiko"wameuchomeka nyuma.
 
Acha kujitekenya na kucheka mwenyewe.

Wapi uliona kauli ya kijeshi inazua hofu kwa watoa Kauli?
 
152136784_5394097000602155_4972626819383389711_n.jpg
 
Kwa utafiti wangu wa kina nilioufanya inaonekana mashabiki wengi hawakupenda kauli mbiu yao mpya kuelekea mechi yao dhidi ya Al Ahly.

Wengi wao wameonekana kuwa na hofu kubwa sana ya matokeo dhidi ya wageni hao kiasi kwamba kauli mbiu ikashindwa kuinua hamasa ya ushindi. Wapo wengi wanao amini kuwa kauli mbiu isiyo na uhalisia umepelekea upweke wa hamasa miongoni mwa mashabiki wa timu hiyo.

Pia, walio wengi wanaamini kauli mbiu hiyo huenda ikawasaidia kupata sare dhidi ya wababe hao wa bara la Afrika, lakini uhalisia ni kuwa ni vigumu mno kupata sare dhidi yao ukizingatia walipumzisha wachezaji wengi dhidi ya mechi yao na Al Mereikh.

Je, ni kwa kiasi gani unadhani hizi kauli mbiu za simba zina uhalisia na uwezo wao wa kuzalisha matokeo dhidi ya vigogo vilivyopo kwenye kundi lake?
Kanywe sumu ufe sasa
 
Kwa utafiti wangu wa kina nilioufanya inaonekana mashabiki wengi hawakupenda kauli mbiu yao mpya kuelekea mechi yao dhidi ya Al Ahly.

Wengi wao wameonekana kuwa na hofu kubwa sana ya matokeo dhidi ya wageni hao kiasi kwamba kauli mbiu ikashindwa kuinua hamasa ya ushindi. Wapo wengi wanao amini kuwa kauli mbiu isiyo na uhalisia umepelekea upweke wa hamasa miongoni mwa mashabiki wa timu hiyo.

Pia, walio wengi wanaamini kauli mbiu hiyo huenda ikawasaidia kupata sare dhidi ya wababe hao wa bara la Afrika, lakini uhalisia ni kuwa ni vigumu mno kupata sare dhidi yao ukizingatia walipumzisha wachezaji wengi dhidi ya mechi yao na Al Mereikh.

Je, ni kwa kiasi gani unadhani hizi kauli mbiu za simba zina uhalisia na uwezo wao wa kuzalisha matokeo dhidi ya vigogo vilivyopo kwenye kundi lake?
Kweli bwana utopolo, utabiri wako ulikuwa sahihi kabisa, bila shaka matokeo unayo na wala si matokeo ya sare kama ulivyotabiri!
 
Kwa utafiti wangu wa kina nilioufanya inaonekana mashabiki wengi hawakupenda kauli mbiu yao mpya kuelekea mechi yao dhidi ya Al Ahly.

Wengi wao wameonekana kuwa na hofu kubwa sana ya matokeo dhidi ya wageni hao kiasi kwamba kauli mbiu ikashindwa kuinua hamasa ya ushindi. Wapo wengi wanao amini kuwa kauli mbiu isiyo na uhalisia umepelekea upweke wa hamasa miongoni mwa mashabiki wa timu hiyo.

Pia, walio wengi wanaamini kauli mbiu hiyo huenda ikawasaidia kupata sare dhidi ya wababe hao wa bara la Afrika, lakini uhalisia ni kuwa ni vigumu mno kupata sare dhidi yao ukizingatia walipumzisha wachezaji wengi dhidi ya mechi yao na Al Mereikh.

Je, ni kwa kiasi gani unadhani hizi kauli mbiu za simba zina uhalisia na uwezo wao wa kuzalisha matokeo dhidi ya vigogo vilivyopo kwenye kundi lake?
Yaani wewe haya sasa 1-0 unalipi la kusema
 
Back
Top Bottom