Lawama za mashabiki wa Simba dhidi ya Kayoko zimenifikirisha sana. Wamelalamika na kupiga kelele wakisahau kuwa wao ndio wanufaika wakubwa wa makosa ya waamuzi kwa msimu huu. Mashabiki wengi wa Simba wamejaa mihemko tu. Wanapenda kubebwa tu.
Ngao ya jamii walibebwa, mechi dhidi ya Prinsons na hata ile na Singida walibebwa. Mapinduzi cup walipewa kona ya uongo iliyowavusha kuingia fainali. Wapinzani walipolalamila, wao walitoa maneno ya kejeri kama vile 'nendeni mkashitaki polisi, ukibebwa bebeka, nk'.
Nimewaza sana. Wanajiona wako special sana. Jengeni timu na mjifunze kuwa na vifua pale mambo yanapoenda tofauti. Pia mnapojadili hoja jaribuni kuongea kwa kushirikisha senses
Ngao ya jamii walibebwa, mechi dhidi ya Prinsons na hata ile na Singida walibebwa. Mapinduzi cup walipewa kona ya uongo iliyowavusha kuingia fainali. Wapinzani walipolalamila, wao walitoa maneno ya kejeri kama vile 'nendeni mkashitaki polisi, ukibebwa bebeka, nk'.
Nimewaza sana. Wanajiona wako special sana. Jengeni timu na mjifunze kuwa na vifua pale mambo yanapoenda tofauti. Pia mnapojadili hoja jaribuni kuongea kwa kushirikisha senses