Kwani alifanya kosa lipi lisilosameheka jamaniukweli ni kwamba mbali na TETESI za ufisadi juu yake mimi sijaona mtu mchapakazi wa EL,Kama yupo mtaje
Kwani alifanya kosa lipi lisilosameheka jamaniukweli ni kwamba mbali na TETESI za ufisadi juu yake mimi sijaona mtu mchapakazi wa EL,Kama yupo mtaje
Wanajamvi nimeitafakari kauli mbiu ya MH Lowassa kama inavyoonekanaa katika mabango yake ya kampeni huko Monduli na Kusomeka: Tulihuzunika pamoja....na tutashinda pamoja.
Je kwa hisia za kawaida mtu huyu ana machungu fulani moyoni mwake na kupitia wapiga kura wake pia anawashirikisha katika kujikomboa kwenye upweke huo..
Natumai EL ni mwanasiasa mjanja na huenda ana mikakati ya kutumia ajali yake kisiasa kurejeaa kwa kishindo katika uongozii wa juu hapa nchini..
Tujadili kauli mbiu yake..
NICE joke RutungaKwani alifanya kosa lipi lisilosameheka jamaniukweli ni kwamba mbali na TETESI za ufisadi juu yake mimi sijaona mtu mchapakazi wa EL,Kama yupo mtaje
Kwani alifanya kosa lipi lisilosameheka jamaniukweli ni kwamba mbali na TETESI za ufisadi juu yake mimi sijaona mtu mchapakazi wa EL,Kama yupo mtaje
kwani alifanya kosa lipi lisilosameheka jamaniukweli ni kwamba mbali na tetesi za ufisadi juu yake mimi sijaona mtu mchapakazi wa el,kama yupo mtaje
Kwa nchi inayofuata utawala bora, huyu muungwana alitakiwa awe amefungwa kwenye gereza lenye ulinzi mkali. Hayo machache mnayoona ameyafanya kwa ufanisi ilikuwa ni janja yake ya kutaka kula na kupuliza. Hata hivyo kuwa hadi leo ni mtu huru ukilinganisha na utajiri alionao, sielewi kwanini asitulie nyumbani akalea wajukuu. Na kama hana, asaidie hata wa majirani:eyeroll2:
hizi ni chuki binafsi, na choyo cha watanzania
mtu akiwa na pesa basi fisadi
ukweli utabaki wazi kuwa ni mtu alijitoa kulitumikia taifa lake na watu wake
ndio maana watu wake wanampenda na atashinda kwa kishindo