Kauli mbiu ya Dr. Magufuli

Kauli mbiu ya Dr. Magufuli

BEHOLD

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2013
Posts
5,056
Reaction score
10,729
Wakuu,

Tafadhali mwenye kauli mbiu ya Mgombea wa Uraisi-CCM Dr Magufuli. Naomba atuwekee!
 
Sheria lazima ifuatwe. Hiyo ndio kauli mbiu yake
 
Nadhan hyo ya umoja ni ushindi haiwez kuwa kauli mbiu, atakuja na yake ambayo itakuwa chachu yake ya ushindi
 
Amekwambia anabeba ilani ya chama na kaulimbiu ya chama inasema UMOJA NI USHINDI
.

Mkuu mtu uamue kubeba jukumu kubwa kama hili halafu huna vision yako mpaka ukaandaliwe na chama?!!

Nina hofu sana kama alijiamini kufikia hapa, au kapatikana ili watu fulani wakomolewe.
 
Kati ya watu waliofurahia ujio wa JPM ni mstaafu Ben Mkapa. Yaani anampenda sana huyu jamaa. Ndiyo maana akamfanya hadi kuchukiwa na awamu ya nne alipoingia na kumpeleka kwenye mifugo na kitoweo akijua atammaliza. Jamaa akaonesha ni jembe kwani alishine. Pia amesaidia sana kumpandisha chati JK kwenye mambo ya ujenzi wa barabara.
 
Wakuu,

Tafadhali mwenye kauli mbiu ya Mgombea wa Uraisi-CCM Dr Magufuli. Naomba atuwekee!

Kwani hukumsikia akihitimisha kuomba kura?

"Alimselema halija alimselema halija''
hapo upo? Wazee kama akina Mzee Mwanakijiji wanaweza kutusaidia sisi vijana kufahamu anamaanisha nini.

Maana kwa ufahamu wangu hizi nyimbo nimepata kuzisikia toka kwa wanajeshi wakati wa mazoezi.

 
Kwa hali ilivokuwa wakati anaomba kura ni kama hakutarajia vile,, na sauti ilikuwa na hofu hivi...hata hapakuwa na kaulimbiu,ikawa tiamajitiamji flani hivi... kidogo aseme 'sikujiandaa kuwa rais ila nitumieni mnavotaka... japo alisema nitumeni...
 
Huyu mzee ni wa Kazi, hana slogan za kudanganyia hizi.
 
Wakuu,

Tafadhali mwenye kauli mbiu ya Mgombea wa Uraisi-CCM Dr Magufuli. Naomba atuwekee!
KIPANYA.jpg
 
Back
Top Bottom